• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 2:29 PM

Man-United na Chelsea watoshana nguvu kwa sare ya 1-1 katika gozi kali la EPL ugani Stamford Bridge

Na MASHIRIKA CARLOS Casemiro alifunga bao la dakika ya mwisho katika sare ya 1-1 iliyosajiliwa na waajiri wake Manchester United dhidi ya...

Kibiwott Kandie atawala Valencia Half Marathon Uhispania

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Kibiwott Kandie amenyakua ubingwa wa Valencia Half Marathon nchini Uhispania, Jumapili. Mwanajeshi huyo...

Dortmund na Bayern watamba katika michuano yao ya Bundesliga

Na MASHIRIKA KIUNGO mvamizi raia wa Uingereza, Jude Bellingham, alifunga mabao mawili na kusaidia waajiri wake Borussia Dortmund...

Real Madrid wakomoa Sevilla na kufungua pengo la alama sita kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA REAL MADRID walifungua mwanya wa alama sita kileleni mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uhispania (La Liga) baada ya kupepeta Sevilla...

Dereva Mkenya Karan imani tele Zambia Rally ikinoga

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Karan Patel ataanza siku ya tatu na mwisho ya Mbio za Magari za Afrika duru ya Sarago Zambia Rally katika...

Nottingham Forest wazamisha chombo cha Liverpool katika EPL

Na MASHIRIKA NOTTINGHAM Forest walijitoa mkiani mwa jedwali la Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) baada ya kuduwaza Liverpool kwa kichapo cha...

Aliyekuwa nyota wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Franck Ribery, astaafu soka

Na MASHIRIKA FOWADI wa zamani wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Franck Ribery, amestaafu katika ulingo wa soka. Nyota...

Montreal ya Wanyama kuwania tiketi Jumapili nayo Philadelphia ikiwa tayari imeshaingia fainali MLS Mashariki

Na GEOFFREY ANENE MKENYA Richard Odada alikuwa kwenye benchi klabu yake ya Philadelphia Union ikipepeta Cinicinnati 1-0 katika...

Granit Xhaka aongoza Arsenal kukomoa PSV katika mkondo wa kwanza wa Europa League ugani Emirates

Na MASHIRIKA GRANIT Xhaka alifunga bao katika ushindi wa 1-0 uliosajiliwa na Arsenal dhidi ya PSV Eindhoven kwenye pambano la Europa...

Man-United wazamisha chombo cha Tottenham Hotspur katika EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER United walisajili matokeo ya kuridhisha zaidi chini ya kocha Erik ten Hag msimu huu katika ushindi wa 2-0...

Hatimaye dalili zaonekana za msimu mpya Ligi Kuu ya Kenya

NA RUTH AREGE KOCHA wa timu ya Sofapaka ya Ligi Kuu ya Wanaume nchini (FKF-PL) David Ouma, anasema imekuwa vigumu kuandaa timu bila...

Magnolia Girls Run kufanyika Novemba

NA RUTH AREGE SHIRIKA la Rainbow of Magnolia-Fountains of Life, likishirikiana na Shirika la Riadha Kenya (AK), limeandaa makala ya pili...