• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 3:16 PM

Arsenal pua na mdomo kuingia mkondo wa muondoano wa Europa League baada ya kucharaza Bodo/Glimt nchini Norway

Na MASHIRIKA ARSENAL sasa wako pua na mdomo kufuzu kwa hatua ya muondoano kwenye Europa League baada ya kutandika Bodo/Glimt ya Norway 1-0...

Scott McTominay asaidia Man-United kuzamisha Omonia Nicosia ya Cyprus katika gozi la Europa League

Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag alikuwa mwingi wa pongezi kwa vijana wake waliolazimika kusubiri hadi sekunde za mwisho wa mchezo kabla...

Mohamed Salah aongoza Liverpool kudhalilisha Rangers 7-1 katika gozi la UEFA nchini Scotland

Na MASHIRIKA MOHAMED Salah alitokea benchi katika kipindi cha pili na kusaidia Liverpol kuponda Rangers 7-1 katika mchuano wa Kundi A...

Jentrix Shikangwa aanza kujenga jina TZ

NA RUTH AREGE MSHAMBULIAJI wa Harambee Starlets, Jentrix Shikangwa, anayeipigia klabu ya Simba Queens ya Tanzania, alianza kampeni yake...

Barcelona hatarini kuaga UEFA katika hatua ya makundi kwa msimu wa pili mfululizo

Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Barcelona kufuzu kwa hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu yalididimizwa zaidi na Inter Milan...

Pep akiri Arsenal ni moto zaidi

NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Pep Guardiola wa Manchester City ameisifu klabu ya Arsenal kwa mwanzo mzuri baada ya timu...

Barcelona wakung’uta Celta Vigo na kurejea kileleni mwa jedwali la La Liga

Na MASHIRIKA PEDRI alifunga bao la pekee katika ushindi wa 1-0 uliosajiliwa na Barcelona dhidi ya Celta Vigo katika Ligi Kuu ya Uhispania...

Chuo Kikuu cha Auburn kumfaa nyota Angella Okutoyi kujiendeleza

Na GEOFFREY ANENE MWANATENISI Angella Okutoyi hatimaye ametangaza chuo kikuu atakachoendeleza tenisi yake na masomo. Kupitia mitandao ya...

Cristiano Ronaldo afikisha mabao 700 tangu aanze kusakata soka katika ngazi ya klabu

Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga bao lake la 700 katika ngazi ya klabu na kusaidia waajiri wake Manchester United kutoka nyuma na...

Arsenal yazamisha chombo cha Liverpool na kurejea kileleni mwa jedwali la EPL

Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amesema ushindi wa 3-2 uliosajiliwa na waajiri wake Arsenal dhidi ya Liverpool katika Ligi Kuu ya...

Chepng’etich na Kipruto mibabe Chicago Marathon

Na GEOFFREY ANENE NYOTA Ruth Chepng’etich aliibuka malkia mpya wa Chicago Marathon baada ya kuongoza mbio hizo kutoka mwanzo hadi mwisho...

Green Eagle FC yabanduliwa nje Taifa Ngano Cup

NA ABDULRAHMAN SHERIFF MABINGWA mara mbili wa Taifa Ngano Super Cup, Green Eagles FC ilibanduliwa nje ya mashindano ya Taifa Ngano Super...