Na MASHIRIKA ARSENAL sasa wako pua na mdomo kufuzu kwa hatua ya muondoano kwenye Europa League baada ya kutandika Bodo/Glimt ya Norway 1-0...
Na MASHIRIKA KOCHA Erik ten Hag alikuwa mwingi wa pongezi kwa vijana wake waliolazimika kusubiri hadi sekunde za mwisho wa mchezo kabla...
Na MASHIRIKA MOHAMED Salah alitokea benchi katika kipindi cha pili na kusaidia Liverpol kuponda Rangers 7-1 katika mchuano wa Kundi A...
NA RUTH AREGE MSHAMBULIAJI wa Harambee Starlets, Jentrix Shikangwa, anayeipigia klabu ya Simba Queens ya Tanzania, alianza kampeni yake...
Na MASHIRIKA MATUMAINI ya Barcelona kufuzu kwa hatua ya makundi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) msimu huu yalididimizwa zaidi na Inter Milan...
NA MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KOCHA Pep Guardiola wa Manchester City ameisifu klabu ya Arsenal kwa mwanzo mzuri baada ya timu...
Na MASHIRIKA PEDRI alifunga bao la pekee katika ushindi wa 1-0 uliosajiliwa na Barcelona dhidi ya Celta Vigo katika Ligi Kuu ya Uhispania...
Na GEOFFREY ANENE MWANATENISI Angella Okutoyi hatimaye ametangaza chuo kikuu atakachoendeleza tenisi yake na masomo. Kupitia mitandao ya...
Na MASHIRIKA CRISTIANO Ronaldo alifunga bao lake la 700 katika ngazi ya klabu na kusaidia waajiri wake Manchester United kutoka nyuma na...
Na MASHIRIKA KOCHA Mikel Arteta amesema ushindi wa 3-2 uliosajiliwa na waajiri wake Arsenal dhidi ya Liverpool katika Ligi Kuu ya...
Na GEOFFREY ANENE NYOTA Ruth Chepng’etich aliibuka malkia mpya wa Chicago Marathon baada ya kuongoza mbio hizo kutoka mwanzo hadi mwisho...
NA ABDULRAHMAN SHERIFF MABINGWA mara mbili wa Taifa Ngano Super Cup, Green Eagles FC ilibanduliwa nje ya mashindano ya Taifa Ngano Super...