NA ALEX KALAMA SPIKA wa Bunge la Seneti Amason Kingi amesuta wanaokosoa kauli za Naibu Rais Rigathi Gachagua kwamba serikali ya Kenya...
NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua ametoa kauli isiyo ya kawaida kwake kutoa kwa kuusifu mrengo wa Azimio la Umoja-One Kenya...
NA CECIL ODONGO RAIS William Ruto mnamo Ijumaa amepigia debe pendekezo la baadhi ya vyama tanzu ndani ya Kenya Kwanza kuvunjwa ndipo...
NA WACHIRA MWANGI KINARA wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amedai kwamba Rais William Ruto anawatolea vitisho na kuwahangaisha...
NA MERCY KOSKEI UFICHUZI kwamba, karibu maeneo bunge 40 nchini yatafutiliwa mbali kwa sababu hayajatimiza idadi ya watu wanaohitajika...
NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu ikiwa mwenyekiti wa Baraza la Washauri wa Rais kuhusu Uchumi (CEA), Dkt Dadid Ndii, hatimaye...
WANDERI KAMAU Na WYCLIFFE NYABERI MAGAVANA saba wamegubikiwa na mizozo na mivutano mikali inayoendelea katika kaunti zao, hatua...
NA MOSES NYAMORI KAMATI ya Mazungumzo ya Kitaifa yenye wanachama 10 iliyoundwa na Rais William Ruto na kiongozi wa Upinzani Raila Odinga,...
NA WYCLIFFE NYABERI MADIWANI wa Nyamira wameorodhesha sababu 12 za kutaka kumng’atua Gavana Amos Nyaribo. Miongoni mwa sababu hizo...
NA KALUME KAZUNGU ‘PALIPO wazee hapaharibiki neno' ndiyo msemo na kauli mbiu ya Seneta wa Lamu Joseph Githuku Kamau, ambaye mapenzi yake...
NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang'ula amewataka wawakilishi katika mazungumzo ya pande mbili kujiepusha na...
NA WANDERI KAMAU BAADHI ya kauli alizotoa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta akiwatahadharisha wakazi wa Mlima Kenya dhidi ya kumchagua Rais...