• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Waliopigia Azimio wasahau nyadhifa za kuteuliwa, wasubiri tu maendeleo ya kitaifa – Kingi

NA ALEX KALAMA SPIKA wa Bunge la Seneti Amason Kingi amesuta wanaokosoa kauli za Naibu Rais Rigathi Gachagua kwamba serikali ya Kenya...

Gachagua asifu Azimio kwa kusitisha maandamano japo ‘mjeledi wa kuwanyorosha uko tu karibu’

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua ametoa kauli isiyo ya kawaida kwake kutoa kwa kuusifu mrengo wa Azimio la Umoja-One Kenya...

Kenya Kwanza: Ruto asema ‘form’ ni kubembeleza vyama tanzu kukubali kuvunjwa vijiunge na UDA

NA CECIL ODONGO RAIS William Ruto mnamo Ijumaa amepigia debe pendekezo la baadhi ya vyama tanzu ndani ya Kenya Kwanza kuvunjwa ndipo...

Ruto akome kuwashika mateka magavana wa Azimio – Raila

NA WACHIRA MWANGI KINARA wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amedai kwamba Rais William Ruto anawatolea vitisho na kuwahangaisha...

Maeneo bunge yasiyo na idadi tosha ya watu kumezwa

NA MERCY KOSKEI UFICHUZI kwamba, karibu maeneo bunge 40 nchini yatafutiliwa mbali kwa sababu hayajatimiza idadi ya watu wanaohitajika...

Kauli za Ndii zaashiria kuna nyufa katika Ikulu ya Rais?

NA WANDERI KAMAU MASWALI yameibuka kuhusu ikiwa mwenyekiti wa Baraza la Washauri wa Rais kuhusu Uchumi (CEA), Dkt Dadid Ndii, hatimaye...

Magavana msalabani manaibu wao wakisuka njama ya kuwazika kisiasa

WANDERI KAMAU Na WYCLIFFE NYABERI MAGAVANA saba wamegubikiwa na mizozo na mivutano mikali inayoendelea katika kaunti zao, hatua...

Kamati ya mdahalo wa kitaifa kutumia Sh106m kutafuta namna ya kuiponya nchi

NA MOSES NYAMORI KAMATI ya Mazungumzo ya Kitaifa yenye wanachama 10 iliyoundwa na Rais William Ruto na kiongozi wa Upinzani Raila Odinga,...

Madiwani wadai wameona makosa 12 ya kuwawezesha kumng’atua gavana Nyaribo

NA WYCLIFFE NYABERI MADIWANI wa Nyamira wameorodhesha sababu 12 za kutaka kumng’atua Gavana Amos Nyaribo. Miongoni mwa sababu hizo...

Kutana na seneta wa Lamu ambaye ndiye mwanasiasa kipenzi cha wazee

NA KALUME KAZUNGU ‘PALIPO wazee hapaharibiki neno' ndiyo msemo na kauli mbiu ya Seneta wa Lamu Joseph Githuku Kamau, ambaye mapenzi yake...

Wetang’ula awaonya wanaolemaza mazungumzo ya Bomas

NA BENSON MATHEKA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetang'ula amewataka wawakilishi katika mazungumzo ya pande mbili kujiepusha na...

MTANIKUMBUKA: ‘Utabiri’ wa Uhuru umetimia?

NA WANDERI KAMAU BAADHI ya kauli alizotoa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta akiwatahadharisha wakazi wa Mlima Kenya dhidi ya kumchagua Rais...