• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Urithi wa Joho wazua taharuki

WACHIRA MWANGI NA WINNIE ATIENO WANASIASA wanaotaka kuwania ugavana Mombasa kupitia Chama cha ODM, wametakiwa kutuliza uhasama wa...

Ngirici kuwania ugavana kama mwaniaji huru

NA GEORGE MUNENE MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kirinyaga Wangui Ngirici, amesema kwamba atawania ugavana wa kaunti kama mwaniaji wa...

Safina yamtaka Jimi atafute urais kupitia tiketi yake

NA WINNIE ONYANDO CHAMA cha Safina jana Jumapili kilimpendekeza Jimi Wanjigi apeperushe bendera ya urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti...

Hofu Mlimani kuhusu unaibu rais

NA BENSON MATHEKA WASIWASI umetanda katika eneo la Mlima Kenya kwamba huenda likakosa wadhifa wa naibu rais kwenye serikali ijayo huku...

Lenku apigwa jeki wazee wa Agikuyu wakiunga azma ya kutetea wadhifa

NA STANLEY NGOTHO AZMA ya Gavana wa Kajiado, Joseph Ole Lenku kutetea wadhifa wake, Jumapili ilipigwa jeki baada ya Baraza la Wazee wa...

Wetang’ula sasa ataka Raila akamatwe

NA SHABAN MAKOKHA WANDANI wa Naibu Rais Dkt William Ruto, sasa wanawataka maafisa wa usalama wamkamate kiongozi wa ODM Raila Odinga,...

Magavana 6, wabunge 10 hatarini kutowania

NA JOSEPH WANGUI HUENDA wabunge 10 na magavana sita walio uongozini wakazuiwa kuwania nyadhifa mbalimbali katika uchaguzi mkuu wa...

Kalonzo hatimaye ajiunga na Raila dakika za mwisho

NA CECIL ODONGO KIONGOZI wa Wiper, Kalonzo Musyoka, Jumamosi alitupilia mbali azma yake ya urais, akaingia katika muungano wa Azimio La...

Ruto apata tikiti ya UDA kuwania urais

Na NDUBI MOTURI NAIBU Rais William Ruto, ndiye mgombea urais wa chama cha United Democratic Alliance baada ya Baraza Kuu la Kitaifa...

Nassir aahidi wapinzani kivumbi uchaguzini

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita Abdulswamad Nassir amewasuta wapinzani wake ambao wanatilia shaka masomo yake kuweza kuwa gavana. Bw...

Kithi apuuza madai alihusika na ufisadi

NA ALEX KALAMA MGOMBEAJI ugavana wa kaunti ya Kilifi, Wakili George Kithi amepuzilia mbali madai yanayoenezwa na wapinzani wake kwamba...

Uhuru akuza wanasiasa kizazi kipya Mlimani

NA ONYANGO K’ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta anapanga kukuza kizazi kipya cha viongozi katika ngome yake ya Mlima Kenya huku akikaribia...