• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

Binamu ya Uhuru amkosoa kuhusu kuidhinisha Raila

NA MWANGI MUIRURI BINAMUYE Rais Uhuru Kenyatta amemkosoa kiongozi wa taifa akisema hatua yake ya kumuunga mkono Raila Odinga kuwa mrithi...

Uchumi: Ahadi za Raila zakosa msingi

NA PETER MBURU KIONGOZI wa ODM Raila Odinga, ametoa ahadi mbali mbali katika kampeni zake za kuwania urais, ikiwemo jinsi ataboresha...

Wajackoya aahidi kuangamiza ufisadi akipata urais

Na SHABAN MAKOKHA MWANIAJI wa Urais wa Chama cha Roots Party of Kenya (RBK), Profesa George Wajackoya, ameahidi kuwa atahakikisha uchumi...

Ruto njiapanda sasa baada ya kupuuza vyama

NA VITALIS KIMUTAI Naibu Rais William Ruto aliharibu nafasi ya kushirikiana na vyama vidogo vya kisiasa na kujiweka katika hali hatari...

Wapinzani wafanya maombi ya pamoja

Na VITALIS KIMUTAI LICHA ya tofauti zao za kisiasa, Gavana wa Bomet Profesa Hillary Barchok, mtangulizi wake Isaac Ruto na aliyekuwa...

Mwanafunzi ajitosa kwa siasa za useneta wa Kilifi

NA MAUREEN ONGALA BAADA ya kugonga vichwa vya habari kama mwanafunzi aliyetimuliwa katika vyuo viwili vikuu nchini miaka michache...

Ruto afukuzwa kutoka Jubilee

BENSON MATHEKA Na CHARLES WASONGA NI rasmi sasa kwamba, Naibu Rais William Ruto sio Naibu Kiongozi wa chama cha Jubilee baada ya...

Kuria abadili nia, sasa atawania ugavana Kiambu

Na CECIL ODONGO MBUNGE wa Gatundu Kusini, Bw Moses Kuria ameghairi nia yake ya kutowania cheo chochote kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti 9...

Yafichuka daraja la OKA na Azimio ni Gideon Moi

Na BENSON MATHEKA MWENYEKITI wa chama cha Kanu Gideon Moi ndiye daraja lililounganisha muungano wa One Kenya Alliance OKA na Azimio la...

Uhuru, Raila wasema Azimio ni mwanzo mpya Kenya

Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga wametaja muungano mkubwa wa kisiasa wanaounda wa Azimio...

Msilazimishe vyama vidogo kuungana – Muturi

NA JAMES MURIMI MGOMBEAJI urais wa chama cha Democratic Party Justin Muturi, ameonya vyama vidogo dhidi ya miungano kadhaa ya kisiasa...

Ruto kusimamia mchujo wa UDA

NA ONYANGO K’ONYANGO BODI ya Kitaifa ya Uchaguzi (NEB) ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) chake Naibu Rais William Ruto...