NA WINNIE ONYANDO RAIS Uhuru Kenyatta amepinga madai kuwa aliwafukuza wanachama wa Jubilee ambao walianza kuegemea katika mrengo...
NA WINNIE ONYANDO GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho ambaye ni mmoja wa viongozi wanaomfanyia kampeni kinara wa ODM, Raila Odinga...
NA STEPHEN MUNYIRI WIMBO maarufu wa mapenzi kutoka kwa jamii ya Agikuyu “Reke Tumamwo” (wacha tuachane), ulichukua mkondo wa siasa...
NA MARY WANGARI CHAMA cha Gavana wa Kilifi, Amason Kingi sasa kimeweka rasmi hatima yake mikononi mwa Rais Uhuru Kenyatta baada ya kutia...
LEONARD ONYANGO na JURGEN NAMBEKA KINARA wa ODM Raila Odinga sasa anaonekana kuwa na nguvu mpya huku akijiandaa kumenyana na mpinzani...
Na MWANGI MUIRURI KATIBU mkuu wa chama cha UDA, Veronica Maina amesema chama hicho kitatangaza mbinu za kushirikiana na vyama vingine...
Na LEONARD ONYANGO KINARA wa ODM, Raila Odinga wikendi hii atakuwa na shughuli nyingi huku muungano wa Azimio la Umoja ukianza rasmi...
NA WINNIE ATIENO GAVANA wa Kaunti ya Kwale, Bw Salim Mvurya, anazidi kukumbwa na pingamizi kutoka kwa wakosoaji wake wanaomtaka akae...
Na WANDERI KAMAU WASHIRIKA wa Naibu Rais William Ruto wamemkosoa vikali Rais Uhuru Kenyatta kufuatia matamshi aliyotoa katika Ikulu...
NA MWANGI MUIRURI WANDANI wa Rais Uhuru Kenyatta wamelaumiwa kwa kuchangia kudidimia kwa umaarufu na ushawishi wake katika eneo la Mlima...
Na WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta jana Jumatano alimshambulia vikali naibu wake William Ruto, akimtaja kama kiongozi mnafiki ambaye...
[embed]https://www.youtube.com/watch?v=MYoAQCKiAAY[/embed]