• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

Kalonzo amkalia ngumu Raila

VALENTINE OBARA NA BRIAN OCHARO JUHUDI za kuunda muungano kati ya Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga, na mwenzake wa Wiper, Bw Kalonzo...

Juhudi zilivyofanywa kupata wa kumkabili Nyong’o Agosti

NA VICTOR RABALLA JUHUDI zilizotumika kumteua aliyekuwa Naibu Waziri wa Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Bw Ken Obura, kuwa...

Vita vya magavana, Kalonzo pigo kwa Raila Ukambani

Na PIUS MAUNDU VITA vya ubabe vinavyoendelea kati ya magavana watatu wa eneo la Ukambani kwa upande mmoja na viongozi wa Wiper kwa...

Himizo wafuasi wa ODM wajiandikishe kushiriki mchujo

Na GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Evans Kidero (pichani), amewahimiza wakazi wa Homa Bay kujiandikisha kwa wingi kuwa...

Nyaribo ajiunga na UPA baada ya kutema Mudavadi

Na RUTH MBULA CHAMA kipya cha United Progressive Alliance (UPA), kimeanza kujivumisha na kudhamini wawaniaji wa viti tofauti katika...

Vinara wa Kenya Kwanza wadai Uhuru anapoteza muda kuzuru Mlima Kenya

NA GEORGE MUNENE VIONGOZI wa Muungano wa Kenya Kwanza wamemkashifu Rais Uhuru Kenyatta kwa kuamua kuzuru eneo la Mlima Kenya baada ya...

Raila amgonga Ruto kwenye kampeni Pwani

NA WAANDISHI WETU KINARA wa ODM Raila Odinga, amemtaja Naibu Rais Dkt William Ruto kama kiongozi ambaye amezoea kuhadaa Wakenya ili kupata...

Uhuru aanza kutoa Jubilee ICU

NA CHARLES WASONGA VIONGOZI wa Jubilee wameanza kampeni kali za kukifufua chama hicho kote nchini baada ya hofu kuwa kingesambaratika...

Mawaziri watatu wa Joho wajiuzulu kuwania viti

NA WACHIRA MWANGI MAAFISA watatu katika Serikali ya Kaunti ya Mombasa, wamejiuzulu ili kuwania viti vya kisiasa. Aliyekuwa Waziri wa...

PAA yajitenga na ziara ya Raila Pwani

Na CHARLES WASONGA MGAWANYIKO umetoa ndani ya vuguvugu la Azimio la Umoja baada ya chama cha Pan African Alliance (PAA) kutangaza kuwa...

Hofu mabwanyenye wameteka chama cha ODM Pwani

MAUREEN ONGALA NA VALENTINE OBARA WASIWASI umeibuka miongoni mwa baadhi ya wanachama wa ODM wanaolenga kutafuta tikiti za kuwania...

Wakenya milioni 5 bado hawajaamua ni Ruto au Raila

MERCY SIMIYU na JOSEPH WANGUI KARIBU wapigakura milioni 5 hawajaamua iwapo watampigia kura Naibu Rais Dkt William Ruto au Kinara wa ODM...