• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

AZIMIO: Wandani wakaidi Raila

Na WAANDISHI WETU MIZOZO na mivutano ya ndani kwa ndani katika vuguvugu la Azimio la Umoja inatishia kuvuruga mikakati ya kumpigia debe...

UDA yatangaza tarehe za mchujo

 Na CHARLES WASONGA CHAMA cha United Democratic Alliance (UDA) kimetangaza kuwa kitaendesha mchujo wa wagombeaji nyadhifa mbalimbali kwa...

Mwanaharakati adai UDF ilimtapeli hela za mchujo

Na BENSON MATHEKA Mwanaharakati David Kimengere ambaye ni mwanzilishi wa shirika la kijamii la Sauti ya Mnyonge, anataka...

Vita vya ubabe vyazuka ndani ya Azimio la Umoja

NA WAANDISHI WETU MGAWANYIKO umeibuka miongoni mwa wandani wa kinara wa ODM Raila Odinga ambaye yuko ziarani nchini India kuhusu usimamizi...

Kigame arai Wakenya kuchagua Rais mcha Mungu

NA CHARLES WASONGA MGOMBEAJI wa urais Reuben Kigame amewataka Wakenya kuchagua rais mwadilifu na mcha Mungu ambaye atayapa kipaumbele...

UhuRuto sasa watishia kuanza kupakana tope

NA LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta na naibu wake William Ruto wametishia kupakana tope hadharani huku siasa za kuchafuliana majina...

Jubilee yamkataa mshukiwa wa ufisadi wa NYS

NA ERIC MATARA CHAMA cha Jubilee jana kilikataa ombi la mshukiwa katika kesi ya kashfa ya Idara ya Huduma ya Kitaifa ya Vijana (NYS), Anne...

Jumwa abanwa katikati ya ndume

VALENTINE OBARA NA ALEX KALAMA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, anatarajiwa kuwa miongoni mwa wanawake wachache nchini ambao watajitosa...

Pesa za kampeni zawagonganisha washirika wa Ruto

NA PIUS MAUNDU WASIWASI umewakumba wafuasi wa Naibu Rais William Ruto katika kaunti ya Makueni baada ya mirengo miwili ya viongozi wa...

ODM na DAP-K kushirikiana kufungia nje UDA Magharibi

NA BRIAN OJAMAA CHAMA cha ODM kimeungana na kile cha Democratic Alliance Party of Kenya (DAP-K) kumpigia debe mgombeaji urais wa muungano...

Msimu wa vyama kuvuna ndio huu

NA CHARLES WASONGA MSIMU wa vyama vya kisiasa kuvuna mabilioni ya pesa kutokana na ada za mchujo umewadia vyama hivyo vikijiandaa kwa...

Ndoa bandia yaachia Kenya tamu-chungu

NA PETER MBURU NDOA ya kisiasa kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto, ambayo sasa imefikia hatua ya talaka, itamua - cha...