• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

Wazee wafanya Rais ajikune kichwa zaidi

NA WAWERU WAIRIMU RAIS Uhuru Kenyatta anakabiliwa na kibarua kigumu kuliunganisha eneo la Kaskazini Mashariki ili kumsaidia kiongozi wa...

ODM yaonya wanasiasa wake dhidi ya kuzua vurugu

NA MAUREEN ONGALA BODI ya Kitaifa ya Uchaguzi katika chama cha ODM, imeonya wanasiasa kuwa watapigwa marufuku kushiriki katika uchaguzi...

Wakulima zaidi wajitokeza kuuzia NCPB mahindi

NA BARNABAS BII IDADI ya wakulima ambao wanawasilisha mahindi yao kwenye Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), imeongezeka mara mbili...

Seneta Kibiru ajitosa kuwania ugavana

NA GEORGE MUNENE SENETA wa Kirinyaga Charles Kibiru, ametangaza azma yake ya kuwania ugavana katika Kaunti hiyo kupitia tiketi ya chama...

Magavana 3 waahidi Raila kura za ‘zizi’ la Kalonzo

PIUS MAUNDU NA BENSON MATHEKA MAGAVANA wa Ukambani wamesisitiza kuwa wana uwezo wa kumsaidia kinara wa ODM, Raila Odinga kupenya katika...

Msongamano washuhudiwa kiti cha useneta jijini

NA COLLINS OMULO IKIWA imesalia miezi miwili kabla vyama kufanya mchujo wa wawaniaji wa viti vya kisiasa kwenye Uchaguzi Mkuu ujao,...

Hofu ya ODM kumezwa na Azimio yaongezeka

CHARLES WASONGA NA RUSHDIE OUDIA HOFU imetanda miongoni mwa viongozi na wafuasi wa chama cha ODM kwamba huenda chama hicho kikamezwa baada...

Wanjigi atisha kuzima ndoto ya Raila kuingia Ikulu

Na CHARLES WASONGA MIKIMBIO ya kisiasa ya mfanyabiashara Jimi Wanjigi sasa inaonekana kuwakosesha usingizi vigogo wa ODM kwani ametisha...

Chama cha Jubilee chaanza kampeni kali ya kuvumisha Azimio La Umoja

Na LAWRENCE ONGARO CHAMA cha Jubilee kimeanza kuvumisha Azimio La Umoja eneo la Gatundu Kaskazini. Mbunge wa Gatundu Kaskazini Bi...

Kenya Kwanza haituwezi, Uhuru aambia wafuasi

NA BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta ame - hakikishia wafuasi wake kwamba muungano wa Azimio La Umoja uko na nguvu kuliko ule wa Kenya...

Mawaziri wapigia Raila debe uchaguzi ukinukia

CHARLES WASONGA NA BENSON MATHEKA MAWAZIRI wa Serikali waliosalia baada ya wenzao kujiuzulu kuingia siasa sasa wameanzisha kampeni kali...

Zani ajitosa katika ugavana wa Kwale

NA SIAGO CECE KINYANG’ANYIRO cha wadhifa wa ugavana kimeshika kasi baada ya Seneta Maalum, Bi Agnes Zani kutangaza azma yake ya kuwania...