• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 9:01 PM

Omamo ajitetea kuhusu kesi ya Miguna kurejea Kenya

NA JOSEPH WANGUI WAZIRI wa Mambo ya Nje, Raychelle Omamo, amejitetea dhidi ya madai kwamba alikaidi agizo la mahakama la kumpa Miguna...

Vyombo vya habari kupeperusha matokeo ya kura

NA DAVID MWERE KAMATI YA BUNGE kuhusu Haki na Sheria imewahakikishia wanahabari kuwa hawatazuiwa kupeperusha mbashara matokeo ya uchaguzi...

Kasi ya Ruto yatoa jasho Mudavadi, Wetang’ula

NA LEONARD ONYANGO KINARA wa Amani National Congress (ANC) Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya Moses Wetang’ula watalazimika...

Siri ya mawaziri ‘wanasiasa’ kutojiuzulu viti

BI TAIFA WANDERI KAMAU NA GITONGA MARETE HATUA ya baadhi ya mawaziri kudinda kujiuzulu kutoka nafasi zao kuwania nyadhifa za kisiasa...

Wanawake wataka wapewe kipaumbele kwenye teuzi za vyama

NA MERCY SIMIYU VIONGOZI wanawake wanataka miungano ya vyama vya kisiasa iwape kipaumbele kwenye mchujo unaotarajiwa kufanyika...

Wabunge wa Ruto katika njiapanda

LEONARD ONYANGO NA RICHARD MUNGUTI SHERIA mpya ya Vyama vya Kisiasa imeanza kuwatia wasiwasi wabunge wa Jubilee wanaolenga kuhamia chama...

Maeneo yatakayoamua wazito kaunti za Pwani

NA VALENTINE OBARA WAGOMBEAJI viti vya kisiasa vya eneo la Pwani, wanatarajiwa kuanza kutumia takwimu za wapigakura katika maeneobunge...

Afisi aliyofungua Ruto yakosa polisi

NA RUTH MBULA AFISI moja ya polisi iliyofunguliwa na Naibu Rais William Ruto kwenye ziara ya mwisho aliyofanya katika Kaunti ya Nyamira,...

IEBC yaokoa madiwani

NA COLLINS OMULO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imewahakikishia madiwani wanaopania kuwania nyadhifa za juu katika uchaguzi mkuu...

Baadhi ya wanachama wa ODM wataka Raila atimuliwe chamani

NA JUSTUS OCHIENG KUNDI la maafisa na wajumbe wa tawi moja la ODM wanamtaka waziri mkuu wa zamani Raila Odinga kutimuliwa kutoka chama...

Wanjigi ataka kikao cha ODM kiahirishwe, adai utaratibu wa ajenda ulikiukwa

NA JUSTUS OCHIENG’ MFANYABIASHARA Jimi Wanjigi ameandikia barua chama cha ODM kinachoongozwa na Raila Odinga, akitaka kibadilishe notisi...

Watumishi wa umma wajirusha katika bwawa chafu

NA LEONARD ONYANGO ALIYEKUWA Waziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) Adan Mohammed na mwenzake wa Maji Sicily Kariuki ni miongoni mwa...