• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 8:55 PM

ODM yazimwa kufuta jina la seneta Ojienda kwenye rejista

NA RICHARD MUNGUTI CHAMA cha ODM chazimwa na mahakama kuondoa kwenye rejista jina la Seneta wa Kisumu Prof Tom Ojienda na wabunge wanne;...

Hatutabebwa na ‘tam tam’ za Ruto, magavana wahakikishia Raila

Na RUSHDIE OUDIA [email protected] Magavana kutoka ngome ya Kinara wa Upinzani Raila Odinga wameapa kukataa kuchotwa na...

Suala la sava za IEBC lisifike meza ya mazungumzo, Gachagua aonya Azimio

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Rigathi Gachagua sasa anaonekana kubadili msimamo wa kupinga mazungumzo ya maridhiano kati ya mirengo ya...

Gachagua: Watu kutoka Nyeri huchangamkia kazi kama fisi kwa mzoga

NA MWANGI MUIRURI  Naibu Rais Rigathi Gachagua amedai kwamba watu wa Nyeri ndio waaminifu zaidi ndani ya serikali akisema kwamba Rais...

Siri ya familia ya Kenyatta yafichuliwa

NA BENSON MATHEKA MZEE Jomo Kenyatta, rais wa kwanza wa Kenya alifariki saa chache kabla ya kukutana na aliyekuwa hasimu wake mkuu wa...

Mzae bila wasiwasi tupate watu wa kutupigia kura – Gachagua

NA WINNIE ONYANDO NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewashauri wakazi wa Kericho kuendelea kuzaana. Akizungumza Ijumaa kwenye hafla ya mazishi...

Gachagua asema kazi yake kubwa ni kuzuia watu fulani kumfikia Rais Ruto

NA WINNIE ONYANDO NAIBU Rais Rigathi Gachagua sasa anadai kuwa kazi yake kuu ni kumchunga Rais William Ruto. Akizungumza akiwa Kaunti ya...

Uchaguzi wa viongozi wa UDA kufanyika Desemba 2023 – Rais Ruto

NA JAMES MURIMI RAIS William Ruto ametangaza kwamba chama cha United Democratic Alliance (UDA) kitafanya uchaguzi wake wa kitaifa mnamo...

Kutimuliwa kwa wabunge chamani ODM kwaibua wameza mate

NA KASSIM ADINASI KUTIMULIWA kwa Mbunge wa Gem Elisha Odhiambo kutoka kwa chama cha Orange Democratic Movement (ODM), pamoja na wabunge...

Seneta wa Kisumu akohoa akiitisha ushahidi wa kutimuliwa chamani

NA RICHARD MUNGUTI KATIKA kile kinachoonekana kama maandalizi ya vita vikali vya kisheria kortini, Seneta wa Kisumu Prof Tom Ojienda...

Joto la atakayevalia viatu vya Raila lashamiri

NA CHARLES WASONGA SENETA wa Siaya Oburu Oginga sasa amekana madai ya kumpendekeza Mbunge wa Ugunja Opiyo Wandayi kuwa mrithi wa kiongozi...

Mwanzo mpya

NA BENSON MATHEKA BAADA ya wiki kadha za malumbano kati ya wawakilishi wa muungano wa wa Azimio la Umoja-One Kenya na wenzao katika...