• Nairobi
  • Last Updated May 12th, 2024 10:50 AM

Joto la atakayevalia viatu vya Raila lashamiri

NA CHARLES WASONGA SENETA wa Siaya Oburu Oginga sasa amekana madai ya kumpendekeza Mbunge wa Ugunja Opiyo Wandayi kuwa mrithi wa kiongozi...

Mwanzo mpya

NA BENSON MATHEKA BAADA ya wiki kadha za malumbano kati ya wawakilishi wa muungano wa wa Azimio la Umoja-One Kenya na wenzao katika...

‘Simba jike’ wa Kiambu amuonya Wamatangi

NA WANDERI KAMAU MBUNGE Gathoni wa Mucomba wa Githunguri, ametoa onyo kwa Gavana Kimani Wamatangi wa Kiambu, kwamba ataongoza maasi...

Orengo asema mvutano na Oduol hauathiri utendakazi wake

NA KASSIM ADINASI VITA vya ubabe kati ya Gavana wa Kaunti ya Siaya James Orengo na Naibu Gavana William Oduol vinaendelea. Sasa...

Vita baridi Mlimani kati ya Rigathi na Ndindi Nyoro

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua na mbunge wa Kiharu Bw Ndindi Nyoro wako katika mvutano fiche wa ubabe katika eneo la...

Total man mpya

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Wengi katika Bunge la Kitaifa Kimani Ichung'wah, ameonekana kuwa na nguvu na ushawishi mkubwa zaidi huku...

Kundi la Wabunge wa Pwani lapata viongozi wapya

NA CHARLES WASONGA MBUNGE wa Wundanyi Danson Mwashako ndiye mwenyekiti mpya wa Kundi la Wabunge wa Pwani (CPG). Bw Mwashako ambaye...

Oparanya anahangaishwa Mulembe wakose ujasiri kumuuliza Ruto maswali – Sifuna

WINNIE ONYANDO Na CHARLES WASONGA SENETA wa Nairobi Edwin Sifuna, sasa anadai kukamatwa kwa aliyekuwa gavana wa Kakamega Wycliffe Oparanya...

Aibu yamvaa Mandago wakazi wakimuita mwizi

NA TITUS OMINDE SENETA wa Uasin Gishu Jackson Mandago hakuamini alichokiona baada ya wakazi kumuita "mwizi shujaa" alipojaribu...

Raila acha wivu – Gachagua

NA TITUS OMINDE NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameambia kinara wa Azimio la Umoja Bw Raila Odinga kukoma kuingiza jina la balozi wa...

Raila alivyochezwa

NA WANDERI KAMAU IMEFICHUKA kuwa huenda maafisa wa ngazi za juu katika serikali ya Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta walimcheza kiongozi wa...

Kiazi moto kwenye mjadala wa Bomas

BENSON MATHEKA Na WANDERI KAMAU MIRENGO ya Azimio na Kenya Kwanza ingali inavutana kuhusu baadhi ya ajenda za mazungumzo ya pande mbili...