• Nairobi
  • Last Updated May 11th, 2024 5:06 PM

Siasa za upinzani si fani yangu – Sabina

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE maalum Bi Sabina Chege mnamo Ijumaa alikiri kwamba 'alimtaliki' kisiasa kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya...

Chimbuko la uhasama wa Ichung’wah na Uhuru

NA MWANGI MUIRURI KIONGOZI wa Wengi katika Bunge la Kitaifa Kimani Ichung'wah amefichua kiini cha uhasama wake na Rais mstaafu Uhuru...

Nuru ya mapatano

NA WANDERI KAMAU MAZUNGUMZO ya maridhiano baina ya mirengo ya Kenya Kwanza na Azimio la Umoja yalianza rasmi Jumatano katika Ukumbi wa...

Siku tano za wali na nyama

NA MWANGI MUIRURI ZIARA ya siku tano ya Rais William Ruto katika eneo la Mlima Kenya iliyoanza Agosti 5 na kukamilika Agosti 9, 2023...

Raila: Kukubali majadiliano si uoga

NA JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amemkemea Inspekta Jenerali wa Polisi na kusema wana ushahidi...

Ruto sasa ‘anyakua’ jukumu la Gachagua

NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto sasa anaonekana kuchukua jukumu la kulainisha sekta ya kahawa kutoka kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua,...

Azimio kuwapa wafuasi mwelekeo Septemba

KASSIM ADINASI Na SIMON CIURI KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amewataka wafuasi wa muungano huo wasubiri mwezi huu wa...

Gachagua anadhani ni DP wa Mlima Kenya pekee – Katana

NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Kaloleni amesema kuwa hatua ya Rais William Ruto kuzungumza na kiongozi wa upinzani Raila Odinga imepunguza...

Mchezo wa paka na panya

DERICK LUVEGA Na WANDERI KAMAU MIRENGO ya Kenya Kwanza na Azimio la Umoja inaonekana kuchezeana mchezo wa paka na panya kuhusu...

Viongozi Mlima Kenya wanadhibitiwa kama mifugo – Mwangi wa Iria

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua amejipata lawamani akisutwa baada ya kujitwika jukumu la kutangaza kwamba walinzi wa...

Azimio wakubali mazungumzo ya maridhiano na KK

NA MWANDISHI WETU MUUNGANO wa Azimio La Umoja-One Kenya umehiari kushirikiana na Kenya Kwanza kuunda kamati ya watu 10 kushiriki...

Kingi ashangazwa na mienendo ya Uhuru

NA MAUREEN ONGALA SPIKA wa bunge la Seneti Amason Kingi amemkosoa Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kwa kujitokeza hadharani kutangamana na...