NA MWANGI MUIRURI MBUNGE maalum Bi Sabina Chege mnamo Ijumaa alikiri kwamba 'alimtaliki' kisiasa kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya...
NA MWANGI MUIRURI KIONGOZI wa Wengi katika Bunge la Kitaifa Kimani Ichung'wah amefichua kiini cha uhasama wake na Rais mstaafu Uhuru...
NA WANDERI KAMAU MAZUNGUMZO ya maridhiano baina ya mirengo ya Kenya Kwanza na Azimio la Umoja yalianza rasmi Jumatano katika Ukumbi wa...
NA MWANGI MUIRURI ZIARA ya siku tano ya Rais William Ruto katika eneo la Mlima Kenya iliyoanza Agosti 5 na kukamilika Agosti 9, 2023...
NA JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amemkemea Inspekta Jenerali wa Polisi na kusema wana ushahidi...
NA WANDERI KAMAU RAIS William Ruto sasa anaonekana kuchukua jukumu la kulainisha sekta ya kahawa kutoka kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua,...
KASSIM ADINASI Na SIMON CIURI KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga amewataka wafuasi wa muungano huo wasubiri mwezi huu wa...
NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Kaloleni amesema kuwa hatua ya Rais William Ruto kuzungumza na kiongozi wa upinzani Raila Odinga imepunguza...
DERICK LUVEGA Na WANDERI KAMAU MIRENGO ya Kenya Kwanza na Azimio la Umoja inaonekana kuchezeana mchezo wa paka na panya kuhusu...
NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua amejipata lawamani akisutwa baada ya kujitwika jukumu la kutangaza kwamba walinzi wa...
NA MWANDISHI WETU MUUNGANO wa Azimio La Umoja-One Kenya umehiari kushirikiana na Kenya Kwanza kuunda kamati ya watu 10 kushiriki...
NA MAUREEN ONGALA SPIKA wa bunge la Seneti Amason Kingi amemkosoa Rais mstaafu Uhuru Kenyatta kwa kujitokeza hadharani kutangamana na...