• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM

Sifadhili maandamano ya Azimio – Uhuru

ROSELYNE OBALA Na BERNARD MWINZI RAIS mstaafu Uhuru Kenyatta amekana madai kuwa anafadhili maandamano ya upinzani. Kwenye mahojiano...

Wazee wampongeza Uhuru kwa kusema ‘Ruto ni prezzo wangu’

NA MWANGI MUIRURI WAZEE wa Mlima Kenya sasa wanawasihi viongozi wa eneo hilo wakiongozwa na Naibu Rais Rigathi Gachagua wakumbatie wito...

Kalonzo ajitokeza hadharani baada ya kutoonekana wakati wa maandamano

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka mnamo Jumamosi alionekana wazi tangu Jumanne baada ya uvumi kuenea kuwa alizuiwa...

Sabina asema Uhuru anafaa kumshukuru badala ya kumlaumu

NA WANDERI KAMAU WANASIASA waasi katika Chama cha Jubilee wamesema kuwa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta anafaa kuwashukuru, kwa kujitolea...

Wandayi asema Raila yuko salama licha ya kutoonekana hadharani

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa wachache katika Bunge la Kitaifa Opiyo Wandayi amewahakikishia wafuasi wa Azimio la Umoja-One Kenya na...

Karua alaani hatua ya maafisa kuwakamata viongozi wa Azimio wakati wa maandamano

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI na Narc Kenya Martha Karua amelaani kukamatwa na kuzuiliwa kwa viongozi wa Azimio na washirika wao Jumatano...

ODM Kilifi wasema Raila akiamua ni hivyo

NA MAUREEN ONGALA VIONGOZI wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) katika Kaunti ya Kilifi wamesema kuwa bado watatii amri ya...

Viongozi wa Azimio wawarai polisi wakatae ‘kikosi cha unyama’

NA JUSTUS OCHIENG KENYA Kwanza wameondoa ulinzi kwa kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga, Martha Karua, Kalonzo Musyoka...

Ruto na Raila washikilia misimamo mikali

NA CHARLES WASONGA VIONGOZI wa Kenya Kwanza na Azimio la Umoja-One Kenya mnamo Ijumaa waliendelea kuchukua misimamo mikali licha ya...

Ruto asema hatakubali maandamano dhidi ya serikali ya KK

NA WINNIE ONYANDO RAIS William Ruto ametangaza Ijumaa kwamba serikali haitaruhusu maandamano ya muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya...

Serikali yaonya Raila kuhusu maandamano

NA WAANDISHI WETU SERIKALI imetoa onyo kali kwa viongozi wa upinzani na wafuasi wao kwamba, watakamatwa na kushtakiwa kwa kusababisha...

Jubilee: Kanini nje, Kioni ndani tena

NA RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA Kuu iliurejeshea mrengo wa mbunge wa zamani wa Ndaragwa Jeremiah Kioni uongozi wa chama cha Jubilee, siku tatu...