• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 9:55 AM

Ukusanyaji wa saini za kumng’oa Ruto kukamilika wiki ijayo – Raila

NA CECIL ODONGO KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga ametangaza kwamba mchakato wa kukusanya saini za kumwondoa madarakani...

Kibarua cha Raila Sabasaba ikiwadia

NA BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya unaoongozwa na Raila Odinga unakabiliwa na kibarua kigumu kufanikisha maandamano...

Raila abadili mbinu za kukabili ‘udhalimu’ wa serikali

NA CHARLES WASONGA KINARA wa Azimio La Umoja - One Kenya, Raila Odinga sasa amebadili mbinu za kupambana na sera dhalimu za utawala wa...

Wito makundi ya CSOs yaungane na Azimio kwa mkutano wa Saba Saba

NA CHARLES WASONGA WITO umetolewa kwa makundi yote ya mashirika ya kijamii (CSOs) kujitokeza na kuunga mkono mkutano wa Saba Saba...

Babu Owino: Ni aibu Gachagua kuwaambia wahitimu serikali haina nafasi za kazi kwao

NA ALEX KALAMA MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amelaani matamshi ya Naibu Rais Rigathi Gachagua aliyeambia wahitimu wa vyuo...

Kenya Kwanza waita Azimio kwa majadiliano kuhusu uteuzi wa makamishna wa IEBC

NA NDUBI MOTURI WAWAKILISHI wa Kenya Kwanza katika kamati ya mazungumzo ya maridhiano wakiongozwa na mwenyekiti wao George Murugara...

Ruto na Gachagua wampiga kumbo Wamuchomba ngomeni Githunguri 

NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua ametoa mchango wa Sh2 milioni za kukarabati choo ya Shule ya Msingi ya Kanjai iliyoko...

Mapinduzi ndani ya Jubilee ni haramu – Kioni

NA RICHARD MUNGUTI KATIBU Mkuu wa chama cha Jubilee (SG) kinachokumbwa na utata wa uongozi Bw Jeremiah Kioni ameomba jopo la kuamua...

Wafuasi wa Jicho Pevu wakabiliana na wenzao wa Hassan Omar

NA FARHIYA HUSSEIN MKUTANO wa wajumbe wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) uliokuwa umeratibiwa kufanyika jijini Mombasa leo...

Naibu Gavana wa Siaya kujua hatima yake Jumatatu

NA RICHARD MUNGUTI KWA njia yoyote ile, Naibu Gavana wa Kaunti ya Siaya William Oduol ataathirika na uamuzi wowote wa kamati ya Seneti ama...

Gachagua apongeza wabunge, awataka raia wampuuze Raila

Na ALEX KALAMA  NAIBU Rais Rigathi Gachagua, amewapongeza wabunge wa muungano wa Kenya Kwanza na waasi wa upinzani kwa kupiga kura kwa...

Azimio: Tukutane Kamukunji Grounds

NA WINNIE ONYANDO MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya, umetoa wito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi Jumanne wiki ijayo katika uwanja...