NA CECIL ODONGO KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga ametangaza kwamba mchakato wa kukusanya saini za kumwondoa madarakani...
NA BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya unaoongozwa na Raila Odinga unakabiliwa na kibarua kigumu kufanikisha maandamano...
NA CHARLES WASONGA KINARA wa Azimio La Umoja - One Kenya, Raila Odinga sasa amebadili mbinu za kupambana na sera dhalimu za utawala wa...
NA CHARLES WASONGA WITO umetolewa kwa makundi yote ya mashirika ya kijamii (CSOs) kujitokeza na kuunga mkono mkutano wa Saba Saba...
NA ALEX KALAMA MBUNGE wa Embakasi Mashariki Babu Owino amelaani matamshi ya Naibu Rais Rigathi Gachagua aliyeambia wahitimu wa vyuo...
NA NDUBI MOTURI WAWAKILISHI wa Kenya Kwanza katika kamati ya mazungumzo ya maridhiano wakiongozwa na mwenyekiti wao George Murugara...
NA MWANGI MUIRURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua ametoa mchango wa Sh2 milioni za kukarabati choo ya Shule ya Msingi ya Kanjai iliyoko...
NA RICHARD MUNGUTI KATIBU Mkuu wa chama cha Jubilee (SG) kinachokumbwa na utata wa uongozi Bw Jeremiah Kioni ameomba jopo la kuamua...
NA FARHIYA HUSSEIN MKUTANO wa wajumbe wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) uliokuwa umeratibiwa kufanyika jijini Mombasa leo...
NA RICHARD MUNGUTI KWA njia yoyote ile, Naibu Gavana wa Kaunti ya Siaya William Oduol ataathirika na uamuzi wowote wa kamati ya Seneti ama...
Na ALEX KALAMA NAIBU Rais Rigathi Gachagua, amewapongeza wabunge wa muungano wa Kenya Kwanza na waasi wa upinzani kwa kupiga kura kwa...
NA WINNIE ONYANDO MUUNGANO wa Azimio la Umoja-One Kenya, umetoa wito kwa Wakenya kujitokeza kwa wingi Jumanne wiki ijayo katika uwanja...