• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 10:55 AM

NDC ya Jubilee kuandaliwa uwanjani Ngong Racecourse

NA CHARLES WASONGA KONGAMANO tata la Wajumbe wa Kitaifa (NDC) lililoitishwa na mrengo wa Jubilee unaoongozwa na Rais Mstaafu Uhuru...

NDC ya Jubilee kufanyika licha ya ‘vijimambo’

NA BENSON MATHEKA MKUTANO maalumu wa Kitaifa wa Wajumbe (NDC) wa chama cha Jubilee utafanyika Jumatatu na Jumanne wiki ijayo...

Gachagua: Raila apige tu picha na Rais, hakuna kuingia serikalini

NA NDUBI MOTURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesisitiza hakuna nafasi yoyote serikalini kwa kiongozi wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila...

Raila akanusha kuna handisheki na Ruto

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga, amepuuzilia mbali uvumi kwamba, anapanga kufanya handisheki na...

Punda amechoka, Raila aambia Ruto

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, jana Jumamosi alimwambia Rais William Ruto peupe kuwa Wakenya wengi...

Uhuru kujua hatma yake kama kinara wa Jubilee Jumatatu

NA MOSES NYAMORI HUENDA Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta akabwagwa kama kiongozi wa chama cha Jubilee huku Msajili wa Vyama Anne Nderitu...

Kioni: Uhuru hajaitisha mtu pensheni

NA BENSON MATHEKA RAIS Mstaafu Uhuru Kenyatta huenda akaamua kuacha pensheni yake kama rais wa nne wa Jamhuri ya Kenya na hafai...

Mzozo wazidi Jubilee Kega akifutilia mbali mkutano alioitisha kinara wake Uhuru

NA WANDERI KAMAU WAASI katika Chama cha Jubilee (JP) jana Jumanne waliendelea kumwelekezea vita vya kisiasa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta,...

Waliosaidiwa na Uhuru wamgeuka

NA WANDERI KAMAU RAIS Mstaafu Uhuru Kenyatta amegeukwa na baadhi ya viongozi aliolea, kuwajenga na kuwatetea kisiasa kwa miaka kumi...

UCHAMBUZI: Miaka 10 baadaye Ruto azuru The Hague akiwa Rais wala sio mshukiwa wa uhalifu wa kibinadamu

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto mnamo Jumatatu, Mei 8, 2023, alirejea jijini The Hague, nchini Uholanzi akiwa Kiongozi wa Nchi, miaka...

Sabina asema Uhuru alilaza damu chamani

NA MWANGI MUIRURI JUBILEE, Sabina Chege jana Alhamisi alitangaza kuwa atamtimua Rais (Mstaafu) Uhuru Kenyatta kutoka uongozi wa chama...

Azimio wasitisha maandamano baada ya Kenya Kwanza kumwondoa Keynan

NA CHARLES WASONGA  SIKU moja baada ya muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya kuanzisha awamu ya pili ya maandamano, uongozi wake...