• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 1:14 PM

Raila kukaribishwa kwa heshima na taadhima atakaporejea kutoka Dubai

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga anatarajiwa kupewa makaribisho ya heshima na taadhima Ijumaa...

Jubilee, KUP hawana mkataba na muungano wa Kenya Kwanza – Msajili

NA CHARLES WASONGA MSAJILI wa Vyama vya Kisiasa Ann Nderitu amefafanua kuwa hamna mkataba wa maelewano kati ya vyama vya Kenya Union...

Azimio kurejelea maandamano jijini Nairobi

NA CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Azimio La Umoja-One Kenya umetangaza utarejelea maandamano ya amani Jumanne wiki ijayo, Mei 2,...

Ruto amvizia Raila ‘nyumbani’ kwake

GEORGE ODIWUOR Na BENSON MATHEKA RAIS William Ruto anaendelea na mikakati ya kijanja yenye lengo la kupenya ngome za kinara wa Azimio la...

Kenya Kwanza wameonyesha nia mbaya – Azimio

NA BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya umejiondoa katika mazungumzo ya maridhiano bungeni ukisema kwamba, serikali ya...

Kalonzo hasaidiki, adai Rais

NA MARY WANGARI RAIS William Ruto amefichua jinsi alivyojaribu bila mafanikio kumwokoa kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka kutokana na...

Azimio yapeleka ajenda kwa MCAs

NA FRED KIBOR MVUTANO unanukia kati ya madiwani na Serikali kuhusu masuala mbalimbali licha ya kwamba mazungumzo kati ya mirengo ya Rais...

Ruto: Kalonzo alikataa kuingia boksi

NA MARY WANGARI RAIS William Ruto amefichua jinsi alivyojaribu bila mafanikio kumwokoa kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka kutokana na...

Azimio wasukuma serikali ukutani

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Azimio la Umoja, Raila Odinga, jana Jumapili alitoa masharti mapya kwa Rais William Ruto na utawala wa...

Haji mjumbe aliyepatanisha Raila na Ruto

NA MOSES NYAMORI MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP) Noordin Haji ametajwa kama mmoja wa wajumbe wa Rais William Ruto kwa kambi ya...

Maandamano yaendelee sambamba na mazungumzo – Raila

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga, ametangaza kuwa muungano wa upinzani utarudia maandamano ya kila...

‘Plan B’ ya Raila

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, anaonekana kusuka mikakati chini ya maji kurejea...