• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 1:14 PM

Nitamshinda Raila 2027 – Ruto

NA WYCLIFFE NYABERI  RAIS William Ruto amemtaka kinara wa ODM Raila Odinga asitishe maandamano na badala yake ampe nafasi awatimizie...

Shinikizo kwa Ruto, Raila wazungumze

CHARLES WASONGA Na JESSE CHENGE WITO wa kumtaka Rais William Ruto kufanya mazungumzo na Upinzani umeshika kasi siku moja baada ya kinara...

Maandamano ya Azimio sasa kufanyika kila Jumatatu na Alhamisi

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI  wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga sasa ametangaza kuwa maandamano yatakuwa yakifanyika jijini...

Raila asema hatachoka kudai haki na kupigania maisha bora ya raia

NA WANDERI KAMAU SHUGHULI zilitatizika jijini Nairobi na baadhi ya maeneo nchini baada ya kinara wa Azimio la Umoja Raila Odinga kuongoza...

MAANDAMANO: Raila ahutubia wafuasi Eastleigh, raia waliochoshwa na ugumu wa maisha wamshangilia

NA MWANDISHI WETU KIONGOZI wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga ameingia jijini kwa kishindo huku waandamanaji...

Mandago adai nia ya Raila ni kuyumbisha serikali ya Ruto

NA TITUS OMINDE SENETA wa Uasin Gishu Jackson Mandago amesema maandamano ya leo Jumatatu yaliitishwa na kiongozi wa Azimio Raila Odinga...

Kalonzo akemea marafiki wanaopinga wito wa Azimio la Umoja leo Jumatatu

NA PIUS MAUNDU KINARA wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka amewakemea baadhi ya wandani wake ambao wanapinga maandamano yanayoandaliwa na upinzani...

‘Maandamano yetu si ya fujo’

NA JUSTUS OCHIENG HUKU Muungano wa Azimio la Umoja ukijiandaa kuongoza maandamano kesho Jumatatu. Taifa Jumapili ilikuwa na mahojiano na...

Azimio yaonya polisi kuhusu maandamano

JUSTUS OCHIENG Na CECIL ODONGO VIONGOZI wa Azimio la Umoja wamewaonya polisi kuwa watawajibikia vitendo vyao wenyewe iwapo watawavamia...

Misimamo mikali yazuia majadiliano ya RaiRuto

CHARLES WASONGA Na WANDERI KAMAU MISIMAMO mikali ya wanasiasa wa mirengo ya Kenya Kwanza na Azimio la Umoja-One Kenya ndio imekwamisha...

Wabunge wa Kenya Kwanza wadai maandamano ya Raila ni sawa na jaribio la kupindua serikali

NA CHARLES WASONGA KUNDI la wabunge wa mrengo wa Kenya Kwanza wamedai kuwa maandamano yaliyoitishwa Jumatatu jijini Nairobi na kiongozi wa...

Angika daluga za ulingo wa kisiasa, Kidero amwambia Raila

NA GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA Gavana wa Nairobi Evans Kidero, amemtaka kiongozi wa Azimio Raila Odinga kustaafu kutoka siasa na kutwika mtu...