• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:55 AM

Wandani wa Kalonzo wampa presha Raila kuhusu 2027

NA JUSTUS OCHIENG WAANDANI wa kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, wameanzisha shinikizo jipya za Mwaka Mpya katika muungano wa Azimio...

Wandani wa Raila wakataa wito wa Mudavadi waunge serikali

NA DERICK LUVEGA WITO wa Mkuu wa Mawaziri, Bw Musalia Mudavadi, kutaka wanasiasa wa upinzani eneo la Magharibi wajitenge na kinara wa...

Raila: Chebukati anafaa kuwa jela

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anataka Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, Wafula Chebukati...

Acha kunipa presha, Ruto amfokea Raila

TITUS OMINDE Na CECIL ODONGO RAIS William Ruto amewataka viongozi wa upinzani wakome kumhangaisha kuhusiana na ahadi alizotoa wakati wa...

Wandani wa Ruto waunga pendekezo afisi ya kiongozi wa upinzani iundwe

NA SHABAN MAKOKHA WANDANI wa Rais William Ruto wameapa kuunga mkono pendekezo la kuundwa kwa afisi ya kiongozi rasmi wa upinzani huku...

Wandayi awataka wakosoaji wa Raila ngomeni Luo Nyanza wafyate au waunde chama

NA CHARLES WASONGA BAADHI ya wanasiasa kutoka Luo Nyanza sasa wanawataka wenzao walioasi ODM kukoma kumshambulia kiongozi wa chama hicho...

Mwangaza alivyojipata gizani

MARY WANGARI NA DAVID MUCHUI HATUA ya Gavana Kawira Mwangaza kumhusisha kwa karibu mumewe katika masuala ya kaunti huenda ikawa sababu kuu...

Mwanawe Ruto atetea ‘afisi ya bintiye rais’

NA BENSON MATHEKA MWANAWE Rais William Ruto, Bi Charlene Ruto, amefafanua kwamba hatumii pesa za serikali kufadhili shughuli za afisi...

Talaka ya Jubilee na ODM sasa yaiva

NA BENSON MATHEKA NDOA ya kisiasa iliyoleta pamoja vyama 26 ili kuunda Azimio la Umoja-One Kenya inaonekana kuvunjika baada ya ripoti...

Kalonzo pabaya Ruto akiweka mikakati kupenya ngome yake

NA ONYANGO K’ONYANGO INGAWA anachukuliwa kuwa tishio la kisiasa kwa Rais William Ruto katika uchaguzi mkuu wa 2027, kiongozi wa chama...

Raila akubali mfupa wa Ruto

NA SAMWEL OWINO KIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga, ametishia kukataa mswada unaolenga kuanzisha Afisi ya...

Uhuru kujiuzulu Azimio

NA MOSES NYAMORI RAIS mstaafu Uhuru Kenyatta anatarajiwa kujiuzu wadhifa wake kama Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Azimio la Umoja-One Kenya...