NA JUSTUS OCHIENG WAANDANI wa kiongozi wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, wameanzisha shinikizo jipya za Mwaka Mpya katika muungano wa Azimio...
NA DERICK LUVEGA WITO wa Mkuu wa Mawaziri, Bw Musalia Mudavadi, kutaka wanasiasa wa upinzani eneo la Magharibi wajitenge na kinara wa...
NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anataka Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, Wafula Chebukati...
TITUS OMINDE Na CECIL ODONGO RAIS William Ruto amewataka viongozi wa upinzani wakome kumhangaisha kuhusiana na ahadi alizotoa wakati wa...
NA SHABAN MAKOKHA WANDANI wa Rais William Ruto wameapa kuunga mkono pendekezo la kuundwa kwa afisi ya kiongozi rasmi wa upinzani huku...
NA CHARLES WASONGA BAADHI ya wanasiasa kutoka Luo Nyanza sasa wanawataka wenzao walioasi ODM kukoma kumshambulia kiongozi wa chama hicho...
MARY WANGARI NA DAVID MUCHUI HATUA ya Gavana Kawira Mwangaza kumhusisha kwa karibu mumewe katika masuala ya kaunti huenda ikawa sababu kuu...
NA BENSON MATHEKA MWANAWE Rais William Ruto, Bi Charlene Ruto, amefafanua kwamba hatumii pesa za serikali kufadhili shughuli za afisi...
NA BENSON MATHEKA NDOA ya kisiasa iliyoleta pamoja vyama 26 ili kuunda Azimio la Umoja-One Kenya inaonekana kuvunjika baada ya ripoti...
NA ONYANGO K’ONYANGO INGAWA anachukuliwa kuwa tishio la kisiasa kwa Rais William Ruto katika uchaguzi mkuu wa 2027, kiongozi wa chama...
NA SAMWEL OWINO KIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga, ametishia kukataa mswada unaolenga kuanzisha Afisi ya...
NA MOSES NYAMORI RAIS mstaafu Uhuru Kenyatta anatarajiwa kujiuzu wadhifa wake kama Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Azimio la Umoja-One Kenya...