• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 8:55 AM

Gachagua, Mudavadi wajipanga kwa 2027

NA BENSON MATHEKA NAIBU Rais Rigathi Gachagua na Mkuu wa Mawaziri Musalia Mudavadi wanaonekana kushindana vikali kila mmoja akiimarisha...

Vinara wakuu Azimio washutumu Kenya Kwanza kwa kulipiza kisasi

NA MACHARIA MWANGI VIONGOZI wa Muungano wa Azimio One Kenya wamelaumu serikali ya Kenya Kwanza kwa kuendeleza kisasi dhidi ya viongozi na...

Raila ahudhuria kikao cha kukaanga Cherera na wenzake kisha alaani pendekezo la kuwatimua

NA CHARLES WASONGA VIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga, Kalonzo Musyoka na Martha Karua ni miongoni mwa...

Sifuna akemea Jubilee kwa kutisha kujiondoa Azimio

NA CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa ODM Edwin Sifuna amedai kuwa chama cha Jubilee kilifeli kuleta idadi tosha ya kura kutoka eneo la...

Tungali imara, maseneta wa Azimio wasema

NA MARY WANGARI VIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya wamekanusha vikali madai ya migawanyiko baina ya uongozi na vyama tanzu vya muungano...

Walioasi Raila walia kwa kukosa minofu

KASSIM ADINASI NA PIUS MAUNDU WANASIASA waliomuasi kiongozi wa ODM, Raila Odinga, baada ya kushindwa kwenye uchaguzi mkuu wa Agosti 9 sasa...

Raila hatarini kusalia pweke katika upinzani

NA WANDISHI WETU MADAI ya usaliti na mikakati ya Rais William Ruto kusaka umaarufu katika ngome za upinzani vinatishia kumwacha kinara...

Ruto, Raila wang’ang’ania IEBC

NA MOSES NYAMORI VUTA nikuvute imezuka kati ya Rais William Ruto na kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuhusiana na mswada unaopendekeza...

Watoto wa Raila, Kalonzo watoa vilio kwa wabunge

NA WAANDISHI WETU BINTIYE kiongozi wa ODM Raila Odinga, Winnie Odinga na mwanawe kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka, Kennedy Musyoka...

Vigogo Azimio wakunja mkia kuhusu teuzi EALA

NA MARY WANGARI VIGOGO wa Azimio jana Jumatano walilemewa na presha na kulazimika kuondoa jamaa zao wanaomezea viti vya ubunge Afrika...

Wanasiasa wamwekea Ruto mtego, atakubali kunaswa na presha zao?

WANDERI KAMAU na CHARLES WASONGA RAIS William Ruto yumo kwenye hatari ya kuingia kwenye orodha ya marais wa Afrika waliokatalia...

Raila apinga sera za serikali ya Ruto

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto na kiongozi wa Azimio Raila Odinga wamekuwa wakitofautiana hadharani kuhusiana na masuala...