• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 1:22 PM

Hisia mseto za wabunge kuhusu hotuba ya Rais Ruto

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wameibua hisia mseto kuhusu hotuba aliyotoa bungeni Rais William Ruto alipohutubia kikao cha pamoja cha bunge...

Kilichosukuma Ruto kuteua wanasiasa wengi mawaziri

NA CHARLES WASONGA RAIS William Ruto ameamua kuteua idadi kubwa ya wanasiasa, kuliko wataalamu, katika baraza lake la mawaziri kutokana...

Wanasiasa wavuna baraza la mawaziri

NA MARY WANGARI RAIS William Ruto jana Jumanne aliteua idadi kubwa ya wanasiasa kuendesha serikali katika wadhifa wa waziri. Kati ya...

Gachagua aibuka bingwa wa kuteleza

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amegeuka kuwa bingwa wa kukanganya sera na ahadi za utawala mpya, wiki mbili pekee tangu...

Polisi watibua maandamano ya Azimio IEBC

NA MARY WANGARI MAAFISA wa polisi jana walikabiliana vikali na viongozi wa Azimio One Kenya waliokuwa wakiandamana kulalamikia hatua ya...

Sitakuwa dikteta, Ruto aondoa hofu

NA LEONARD ONYANGO RAIS William Ruto ameahidi Wakenya kuwa utawala wake hautakuwa wa kidikteta. Rais Ruto aliyekuwa akizungumza jana...

Vinono bungeni vyapasua ODM

NA ONYANGO K’ONYANGO UHASAMA mkubwa umeibuka kati ya wanasiasa vijana na wale wakongwe ndani ya ODM kuhusu nyadhifa za uongozi, hali...

Kilifi kubadili siasa za Pwani – Wachanganuzi

NA VALENTINE OBARA UCHAGUZI na uteuzi wa wanasiasa wa Kaunti ya Kilifi kwa nyadhifa kubwa bungeni huenda ukabadili pakubwa siasa za Pwani,...

Gachagua adai hana chuki binafsi na Uhuru

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesema wazi kwamba hana chuki binafsi na Rais mstaafu, Uhuru Kenyatta. Bw Gachagua...

Sasa koma kulaumu mahakama, Odinga afokewa na viongozi wa Bonde la Ufa

VITALIS KIMUTAI na DAVID MUCHUI KIONGOZI wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga ametakiwa akome kushambulia Mahakama baada ya...

Msipeleke tamaa bungeni, Raila aonya viongozi

NA WINNIE ONYANDO KINARA wa ODM, Raila Odinga amewaonya wabunge wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya dhidi ya kuonyesha ubinafsi na...

Muungano wa Kenya Kwanza waibuka na wawaniaji wake wa nyadhifa za uongozi bungeni

NA SAMMY WAWERU MUUNGANO wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Rais William Ruto umeibuka na wawaniaji wake wa nyadhifa za uongozi...