• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 6:50 AM

‘Jicho Pevu’ kutetea ushindi wake kortini

NA BRIAN OCHARO KESI ya kupinga ushindi wa mbunge wa Nyali Mohamed Ali katika uchaguzi Mkuu wa Agosti 8 imewasilishwa katika mahakama...

Naibu Rais akutana na Raila

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amekutana na kinara wa Azimio, Raila Odinga. Leo Ijumaa, Bw Gachagua amepakia picha...

Karua, Kalonzo wahudhuria sherehe ya Nassir kuapishwa

NA SAMMY WAWERU MGOMBEA mwenza wa Raila Odinga wa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya, Martha Karua na kiongozi wa Wiper Kalonzo...

Ruto aanza kazi

Na BENSON MATHEKA RAIS William Ruto jana Jumanne alianza kutimiza mara moja ahadi alizotoa wakati wa kampeni za uchaguzi, punde tu baada...

Enzi ya Dkt Ruto yaashiria mwanzo mpya kwa wakazi wa Mlima Kenya

NA RICHARD MUNGUTI KUAPISHWA kwa Dkt William Samoei Ruto kuwa Rais wa Tano wa Jamhuri ya Kenya kunaashiria mwanzo mpya kwa eneo la Mlima...

Gachagua amsifu Rais Ruto akimtaja kama kiongozi atakayeimarisha Kenya 

NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amemmiminia sifa Rais William Ruto, akimtaja kama kiongozi mchapakazi. Akihutubu...

Azimio wamtaka Ruto atimize ahadi zake kwa Wakenya

NA DAVID MWERE KUNDI la wabunge kutoka muungano wa Azimio limemkumbusha Rais Mteule William Ruto kuwa wakati umewadia wa kutimiza ahadi...

Ruto achagua kijani kibichi kama rangi rasmi ya bendera yake ya urais

NA MARY WAMBUI RAIS mteule Wiliam Ruto amechagua rangi ya kijani kibichi ya bendera yake ya urais ambayo itakuwa ikipeperushwa kila mahali...

Njama ya Ruto kuteka Pwani kupitia Kingi

KENNEDY KIMANTHI NA ANTHONY KITIMO USHINDI wa aliyekuwa gavana wa Kilifi Bw Amason Kingi, katika uchaguzi wa uspika katika Bunge la...

Dkt Ruto amtembelea Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta katika Ikulu ya Nairobi

NA SAMMY WAWERU RAIS atakayeapishwa kesho Jumanne Dkt William Ruto amemtembelea Rais anayeondoka Uhuru Kenyatta, katika Ikulu jijini...

Junet hakula hela za maajenti – Azimio

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga, amewatetea vikali baadhi ya washirika wake kwa tuhuma...

Mwaniaji wa UDA sasa ataka kura za Mvita zihesabiwe upya

NA BRIAN OCHARO ALIYEKUWA mgombeaji ubunge Mvita kupitia Chama cha United Democratic Alliance (UDA), Bw Omar Shallo, anataka mahakama...