• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:47 PM

Malala akubali kushindwa akipongeza IEBC kwa kazi nzuri

NA CHARLES WASONGA MGOMBEA ugavana wa Kakamega kwa tiketi ya chama cha Amani National Congress (ANC) Cleophas Malala amekubali kushindwa...

Abdulswamad Nassir aibuka mshindi katika uchaguzi wa ugavana Mombasa

NA FARHIYA HUSSEIN MBUNGE wa Mvita anayeondoka Abdulswamad Nassir wa Orange Democratic Movement (ODM) ndiye mshindi wa kiti cha ugavana...

Paul ‘Mamba’ Chebor ang’oa Moi katika eneobunge la Rongai

NA FRANCIS MUREITHI RAYMOND Kipruto Moi ameshindwa kuhifadhi kiti cha eneobunge la Rongai baada ya kulemewa na mgombea wa United...

Magavana waanza kazi kwa kishindo

NA WAANDISHI WETU MAGAVANA 45 walioapishwa katika kaunti mbalimbali nchini Alhamisi iliyopita walianza kazi jana kwa kishindo huku...

Uhuru ajipata njia panda

NA WANDERI KAMAU RAIS Uhuru Kenyatta yumo kwenye njia panda katika juhudi za kumzima naibu wake William Ruto kumrithi. Hii ni baada...

‘Ochieng’ yuko hatarini kujizika kisiasa Nyanza’

NA KASSIM ADINASI HATUA ya mbunge wa Ugenya David Ochieng’ na baadhi ya wanasiasa kutoka eneo la Luo Nyanza, kujiunga na mrengo wa Kenya...

Mtihani kwa familia ya Moi aliyebaki akitetea kiti Rongai

NA ERIC MATARA FAMILIA ya rais wa zamani marehemu Daniel Arap Moi inakabiliwa na mtihani mkubwa mwanawe, Raymond Moi (KANU) anapomenyana...

Leo ni leo Mombasa na Kakamega

NA WAANDISHI WETU WAKAZI wa Kaunti za Mombasa na Kakamega, hatimaye wanatarajia kupata nafasi ya kuamua utawala mpya wa kaunti zao leo...

Kimya kirefu cha Rais chazua hofu kwa Ruto

NA CHARLES WASONGA KIMYA kirefu cha Rais Uhuru Kenyatta kimewatia wasiwasi wandani wa Rais mteule William Ruto, huku wakimsukuma kiongozi...

Kamket akashifu Raila kupinga ushindi wa Ruto

NA FLORAH KOECH MBUNGE mteule wa Tiaty William Kamket amemkosoa mwaniaji urais wa Azimio Raila Odinga kwa kuwasilisha kesi Mahakama ya...

Wabunge wapya wafika bungeni kuelewa mazingira ya kazi

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wateule 286 Agosti 25 walianza kufika bungeni kwa mara ya kwanza tangu kuchaguliwa ili kujiandisha rasmi na...

Raila atishia kususia kura mpya ikiagizwa

VALENTINE OBARA Na WINNIE ATIENO MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya ukiongozwa na mwaniaji wake wa urais Raila Odinga, umeashiria...