• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 1:14 PM

Wabunge wapya wafika bungeni kuelewa mazingira ya kazi

NA CHARLES WASONGA WABUNGE wateule 286 Agosti 25 walianza kufika bungeni kwa mara ya kwanza tangu kuchaguliwa ili kujiandisha rasmi na...

Raila atishia kususia kura mpya ikiagizwa

VALENTINE OBARA Na WINNIE ATIENO MUUNGANO wa Azimio la Umoja One Kenya ukiongozwa na mwaniaji wake wa urais Raila Odinga, umeashiria...

Magavana wapya kurithi dhambi za watangulizi

NA WAANDISHI WETU MAGAVANA wapya waliochaguliwa katika uchaguzi wa Agosti 9, wana mtihani mgumu kuweka mikakati itakayotatua changamoto...

Ruto awapongeza magavana wanawake walioapishwa

NA WINNIE ONYANDO RAIS Mteule, William Ruto amewapongeza wanawake walioapishwa Alhamisi kuwa magavana katika kaunti mbalimbali...

Magavana wapya wanarithi madeni na mzigo mkubwa wa mishahara

NA CHARLES WASONGA MADENI, bajeti kubwa ya mishahara, miradi iliyokwama na migomo ya wafanyakazi ni miongoni mwa changamoto...

Magavana waliofaulu Agosti 9 waapishwa kuingia ofisini

NA SAMMY WAWERU MAGAVANA wateule 45 wanaapishwa leo Alhamisi ili kuchukua rasmi hatamu za uongozi wa kaunti, baada ya kuchaguliwa Agosti...

Jeremiah Kioni adai maajenti wa Azimio walifurushwa Mlima Kenya

NA CHARLES WASONGA KATIBU Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni sasa anadai kuwa maajenti wa mgombea urais wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila...

Gachagua asema ndiye wa kuaminiwa kutetea maslahi ya Mlima Kenya

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais Mteule Rigathi Gachagua Jumatano, Agosti 24, 2022, amesema kuwa yeye ndiye atamrithi Rais Uhuru Kenyatta...

Mbunge ataka korti izuiwe kumtuza Raila

NA JOSEPH WANGUI MBUNGE wa Mugirango Kusini Silvanus Osoro na wapigakura watatu, wamewasilisha kesi kortini wakitaka ufafanuzi wa...

Raila kujipata hali tata korti ikikataa ombi

NA BENSON MATHEKA HUENDA mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga akajipata kwenye hali tata Mahakama ya Upeo ikiamua uchaguzi...

Kivutha Kibwana kushirikiana na Kenya Kwanza

NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Makueni anayeondoka Kivutha Kibwana ametangaza kushirikiana na kambi ya Kenya Kwanza. Tangazo hilo...

Rigathi, Karua watofautiana kuhusu ni nani ‘wa kukohoa’ bungeni

NA WANDERI KAMAU JE, ni Azimio ama Kenya Kwanza wenye idadi kubwa ya wabunge katika Bunge la Kitaifa? Kila mrengo unashikilia kuwa ndio...