• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 2:58 PM

Kenya Kwanza kufanya mkutano wa kwanza

NA CHARLES WASONGA MUUNGANO wa Kenya Kwanza umeitisha mkutano wa kwanza wa viongozi wake waliochaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9,...

Jinsi Uhuru alivyosaidia Ruto kuchaguliwa rais wa 5

NA BENSON MATHEKA MKONO wa Rais Uhuru Kenyatta ulikuwa dhahiri katika uchaguzi wa mwaka huu huku akimpigia debe mgombea urais wa...

Mshindi wa kiti cha urais Dkt William Ruto atoa hotuba iliyosheheni ujumbe wa amani na matumaini

NA SAMMY WAWERU TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Jumatatu imemtangaza Dkt William Ruto kuwa ndiye mshindi wa kiti cha urais katika...

Ruto aingia katika ukumbi wa Bomas

NA SAMMY WAWERU MGOMBEA wa urais kwa tiketi ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9 Dkt William...

Mbunge wa zamani afaulu udiwani Wadi ya Jaribuni

NA ANTHONY KITIMO BAADA ya kung’olewa katika kiti cha ubunge Ganze 2017, Bw Peter Safari Shehe, aliamua kuwania udiwani mwaka huu, na...

Wakazi wachagua wanaume pekee bunge la kaunti

NA KALUME KAZUNGU WAPIGAKURA katika Kaunti ya Lamu, wamechagua wanaume pekee kuwawakilisha katika Bunge la Kaunti baada ya aliyekuwa...

Mvurya awazidi maarifa Joho na Kingi, Achani akichukua Kwale

NA SIAGO CECE GAVANA wa Kaunti ya Kwale Bw Salim Mvurya, ameonyesha ubabe wake wa kisiasa baada ya kumrithisha kiti cha ugavana naibu...

Changamoto kwa Sakaja huku muungano wa Azimio ukitawala jiji

NA BENSON MATHEKA GAVANA ajaye wa Nairobi, Bw Johnson Sakaja, huenda akakabiliwa na kibarua kigumu kufanikisha ajenda yake katika kaunti...

Wagombeaji wa DAP-K walaumu Oparanya kwa kushindwa

NA SHABAN MAKOKHA MIZOZO ya ndani iliyoshuhudiwa katika muungano wa Azimio wakati wa kampeni inaendelea hata baada ya uchaguzi huku...

Kioni: UDA ilichezea Jubilee rafu Mlimani

NA MWANGI MUIRURI KATIBU Mkuu wa Jubilee Jeremiah Kioni mnamo Ijumaa alidai chama cha United Democratic Alliance (UDA) kilishinda viti...

Naibu Mwenyekiti wa ODM Kilifi apoteza kiti cha udiwani

NA ALEX KALAMA NAIBU mwenyekiti wa chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kaunti ya Kilifi ambaye pia ni mwakilishi wa wadi ya...

ODM yapokonywa ubunge Ganze ubingwa ukimwendea Kenneth Charo Tungule wa PAA

NA ALEX KALAMA CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM) kimeshindwa kuhifadhi kiti cha ubunge Ganze, kaunti ya Kilifi baada ya mbunge...