NA JUMA NAMLOLA WAFUASI wa wawaniaji wakuu wa urais mnamo Alhamisi waliendelea kushikilia roho mikononi, huku makundi ya waangalizi wa...
NA WAANDISHI WETU MATOKEO ya awali ya uchaguzi wa ubunge katika kaunti za Pwani, yameonyesha Muungano wa Kenya Kwanza ukilemewa kupata...
NA DAVID MUCHUI WAZIRI wa Kilimo Peter Munya amedhihirisha vyema uungaji mkono wake kwa kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila...
NA TITUS OMINDE WABUNGE wote waliochukuliwa kuwa waasi wa Naibu Rais William Ruto katika ngome yake ya Rift Valley walibwagwa kwenye...
NA WYCLIFFE OTIENO KATIKA eneo la Matungulu shughuli ziliisha vyema. Mheshimiwa Stephen Mule wa Wiper alihifadhi kiti chake baada ya...
NA JUMA NAMLOLA WAGOMBEA urais William Ruto (UDA) na Raila Odinga (Azimio) jana walifuatana unyonyo kwenye matokeo ya urais yaliyokuwa...
NA WINNIE ONYANDO WAKAZI wa Bondo Kaunti ya Siaya jana Jumatano walikesha nje ya Chuo Kikuu Cha Jaramogi Oginga Odinga (JOOUST)...
NA MWANDISHI WETU KUFIKIA saa mbili na dakika 20 usiku wa Jumatano, Agosti 10, 2022 Naibu Rais Dkt William Ruto wa United Democratic...
NA SAMMY WAWERU SHUGHULI ya kujumlisha kura eneobunge la Kieni, Kaunti ya Nyeri inaendelea siku moja baada ya taifa kushiriki...
NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa sasa Kieni, Kanini Kega Jumatano ametangaza kukubali kushindwa kuhifadhi kiti chake baada ya matokeo ya kura...
NA WANDERI KAMAU MBUNGE anayeondoka wa eneobunge la Ndaragwa Jeremiah Kioni amekubali kulemewa na mgombea wa chama cha United Democratic...
NA FARHIYA HUSSEIN GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho, na aliyekuwa gavana wa Nairobi, Mike Sonko (pichani), walizabana ngumi jana katika...