• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 7:55 PM

Wakenya kusubiri zaidi kabla kumjua rais mpya

NA JUMA NAMLOLA WAFUASI wa wawaniaji wakuu wa urais mnamo Alhamisi waliendelea kushikilia roho mikononi, huku makundi ya waangalizi wa...

ODM walemea Kenya Kwanza ubunge Pwani

NA WAANDISHI WETU MATOKEO ya awali ya uchaguzi wa ubunge katika kaunti za Pwani, yameonyesha Muungano wa Kenya Kwanza ukilemewa kupata...

Kura: Raila amlemea Dkt Ruto nyumbani kwa Munya

NA DAVID MUCHUI WAZIRI wa Kilimo Peter Munya amedhihirisha vyema uungaji mkono wake kwa kinara wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila...

Ruto afagia upinzani katika ngome yake

NA TITUS OMINDE WABUNGE wote waliochukuliwa kuwa waasi wa Naibu Rais William Ruto katika ngome yake ya Rift Valley walibwagwa kwenye...

Stephen Mule ahifadhi kiti cha eneobunge la Matungulu

NA WYCLIFFE OTIENO KATIKA eneo la Matungulu shughuli ziliisha vyema. Mheshimiwa Stephen Mule wa Wiper alihifadhi kiti chake baada ya...

Ruto na Raila wafuatana unyounyo kwenye matokeo ya urais

NA JUMA NAMLOLA WAGOMBEA urais William Ruto (UDA) na Raila Odinga (Azimio) jana walifuatana unyonyo kwenye matokeo ya urais yaliyokuwa...

Wakazi wa Bondo wakesha wakisubiri matokeo ya urais

NA WINNIE ONYANDO WAKAZI wa Bondo Kaunti ya Siaya jana Jumatano walikesha nje ya Chuo Kikuu Cha Jaramogi Oginga Odinga (JOOUST)...

Uchaguzi 2022: Ruto, Raila wafuatana kwa karibu kura zikiendelea kujumlishwa

NA MWANDISHI WETU KUFIKIA saa mbili na dakika 20 usiku wa Jumatano, Agosti 10, 2022 Naibu Rais Dkt William Ruto wa United Democratic...

Ujumlishaji kura Kieni waendelea IEBC ikitarajia shughuli hiyo itakamilika kesho Alhamisi

NA SAMMY WAWERU SHUGHULI ya kujumlisha kura eneobunge la Kieni, Kaunti ya Nyeri inaendelea siku moja baada ya taifa kushiriki...

Kieni: Kanini Kega akubali sauti ya wapigakura akae kando

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa sasa Kieni, Kanini Kega Jumatano ametangaza kukubali kushindwa kuhifadhi kiti chake baada ya matokeo ya kura...

Jeremiah Kioni akubali kushindwa katika eneobunge la Ndaragwa

NA WANDERI KAMAU MBUNGE anayeondoka wa eneobunge la Ndaragwa Jeremiah Kioni amekubali kulemewa na mgombea wa chama cha United Democratic...

Joho na Sonko walimana ngumi kituo cha kura

NA FARHIYA HUSSEIN GAVANA wa Mombasa, Hassan Joho, na aliyekuwa gavana wa Nairobi, Mike Sonko (pichani), walizabana ngumi jana katika...