NA TITUS OMINDE DALILI zaonyesha kuwa wagombea huru katika ngome ya Naibu Rais Dkt William Ruto ya North Rift watabwagwa wote. Katika...
NA SAMMY WAWERU MAAFISA wa IEBC, maajenti wa vyama vya kisiasa na wa wagombea wa viti vya kisiasa chini ya ulinzi wa maafisa...
NA WAANDISHI WETU KARIBU wapiga kura 10 milioni walisusia Uchaguzi Mkuu wa Jumanne huku eneo la Mlima Kenya likiwa na idadi...
NA WAANDISHI WETU BAADHI ya wazee, akiwemo mamake Mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, jana Jumanne walikumbwa na changamoto kupiga kura...
NA VALENTINE OBARA MGOMBEAJI ugavana Mombasa kupitia Chama cha ODM, Bw Abdulswamad Nassir, anataka uchunguzi ufanywe kuhusu hali...
NA KITAVI MUTUA JINA la Gavana wa Kitui Charity Ngilu ambaye alijiondoa katika kinyang’anyiro cha Ugavana, jana Jumanne lilikuwa...
NA LAWRENCE ONGARO WAKAZI wa mji wa Thika walijitokeza kupiga kura alfajiri katika uwanja wa Thika Stadium, lakini idadi ilikuwa ya...
NA FARHIYA HUSSEIN MGOMBEA ubunge Mvita kwa tiketi ya United Democratic Alliance (UDA) Omar Shallo amekamatwa pamoja na mwaniaji udiwani...
NA WAANDISHI WETU WAKAZI wa Kauti za Mombasa na Kakamega watalazimika kusubiri muda mrefu zaidi kabla kuchagua magavana wapya. Hii ni...
GEORGE MUNENE Na STEPHEN MUNYIRI MGOMBEA mwenza wa Raila Odinga katika muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Martha Karua Jumanne...
NA ONYANGO K'ONYANGO NAIBU Rais Dkt William Ruto amepiga kura saa kumi na mbili asubuhi katika kituo cha kura kilichoko katika Shule...
NA MWANGI MUIRURI UCHAGUZI mkuu unaofanyika hii leo Agosti 9 bila shaka ni tukio la kipekee kisiasa kwa wenyeji wa Mlima Kenya ambao kwa...