• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 4:40 PM

Mlima Kenya njia panda katika uchaguzi wa leo Agosti 9

NA MWANGI MUIRURI UCHAGUZI mkuu unaofanyika hii leo Agosti 9 bila shaka ni tukio la kipekee kisiasa kwa wenyeji wa Mlima Kenya ambao kwa...

Wakiuka sheria kwa kupeleka siasa kanisani

BENSON MATHEKA na VALENTINE OBARA WAGOMBEAJI wa viti mbali kwenye uchaguzi mkuu wa kesho Jumanne, jana Jumapili walitumia maombi...

Jinsi vijana, wanamuziki walivyopiga kampeni za Azimio eneo la Mlima Kenya mnamo Jumamosi

NA LAWRENCE ONGARO VIJANA kutoka kaunti za Kiambu na Murang'a, walijitokeza wazi kuendesha kampeni za kumvumisha mgombea urais wa Azimio...

Mistari ya mwisho

NA CECIL ODONGO WAWANIAJI wanne wa urais nchini jana Jumamosi waliandaa mikutano ya mwisho kusaka uungwaji mkono huku wakitoa ahadi tele...

Uaminifu wa Mutua kwa Ruto wayumba

NA CHARLES WASONGA UAMINIFU wa Gavana wa Machakos, Dkt Alfred Mutua kwa muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na mgombeaji wake wa urais,...

Ruto: Hata Uhuru atafurahia enzi ya utawala wangu endapo nitachaguliwa Agosti 9

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais, William Ruto ambaye anamezea mate kuingia Ikulu katika uchaguzi mkuu Jumanne, Agosti 9 amemhakikishia Rais...

Raila asihi wafuasi wake wajitokeze kwa wingi wamuingize Ikulu

NA SAMMY WAWERU ZIMESALIA siku mbili pekee taifa lishiriki uchaguzi mkuu, utakaofanyika Jumanne, Agosti 9. Tume Huru ya Uchaguzi na...

Uchaguzi kuzima nyota za wanasiasa maarufu

NA CHARLES WASONGA MATOKEO ya Uchaguzi Mkuu wa Jumanne yatakuwa pigo kubwa kwa wanasiasa wa mrengo utakaopoteza urais. Baadhi ya...

Jinsi Wajackoyah alivyojimaliza kisiasa ghafla

NA WANDERI KAMAU HATUA ya mwaniaji urais kwa chama cha Roots Party, Prof George Wajackoyah kutangaza kuwa anamuunga mkono mwaniaji urais...

Ruto alalama kuhusu njama ya kuiba kura

NA LEONARD ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto jana Alhamisi alitoa msururu wa malalamishi akidai kunyanyaswa na kuwepo kwa njama ya...

Ruto aahidi kuiweka Kenya katika viwango vya juu kiuchumi

NA LAWRENCE ONGARO NAIBU Rais Dkt William Ruto amezuru mjini Thika Jumatano ili kuwarai wapigakura wamchague ifikapo Jumanne, Agosti 9...

Raila apata uungwaji kutoka kwa Wakenya wanaoishi Uingereza

NA CHARLES WASONGA SAFARI ya mgombea urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga kuingia ikulu imepigwa jeki baada ya...