• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Ruto, Raila wapanga kulalamikia matokeo

NA CHARLES WASONGA MIRENGO ya Azimio na Kenya Kwanza (KKA) imeanza kujiandaa kwa mapambano katika Mahakama ya Juu, ishara kwamba kila...

Miungano yatishia usalama kwa uvumi

LEONARD ONYANGO NA JUMA NAMLOLA ZIKIWA zimesalia siku sita pekee kabla Uchaguzi Mkuu hapo Jumanne ijayo, wanasiasa kwenye mirengo mikuu...

Kenya Kwanza wammezea mate Shahbal

VALENTINE OBARA Na WINNIE ATIENO MUUNGANO wa Kenya Kwanza, umeanza kumrushia mistari mfanyabiashara, Bw Suleiman Shahbal, katika juhudi...

Ruto asihi ngome yake kuwakataa wawaniaji wasio wa chama chake

FRED KIBOR KWA siku ya pili mfululizo, Naibu Rais William Ruto amewalilia wakazi wa ngome yake wasimuaibishe Jumanne ijayo kwa kuchagua...

Ipsos: Raila kifua mbele huku zikisalia siku 6

NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga yuko kifua mbele dhidi ya mwenzake wa Kenya...

Mnikumbuke wiki ijayo, Raila asihi

NA JAMES MURIMI MWANIAJI urais wa chama cha Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga anasisitiza kuwa Wakenya wanapaswa kuchagua kati ya...

Uhuru akana kuwa anapanga kuua Dkt Ruto na wandani wake katika Kenya Kwanza

NA CHARLES WASONGA MALUMBANO kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Naibu wake William Ruto kuhusu siasa za urithi yaliendelea kushuhudiwa...

Raila kuzuru Nyanza kura zikinukia

NA RUSHDIE OUDIA MGOMBEA urais wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila Odinga atafanya kampeni yake ya kipindi cha lala salama katika...

Wagombeaji ugavana wakaidi wito wa Raila

NA ALEX NJERU WAGOMBEAJI watatu wa ugavana chini ya muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Kaunti ya Tharaka Nithi wamekaidi wito wa...

Ziara za Uhuru kubomoa Ruto

WANDERI KAMAU Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta anatarajiwa kutumia ziara zake za kuzindua miradi ya maendeleo sehemu mbalimbali...

Nassir: Sonko na Omar hawanitishi

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita, Bw Abdulswamad Nassir, amepuuzilia mbali hatua ya wapinzani wake kuungana dhidi yake katika...

Polisi watishia kuzima kampeni Nyali baada ya fujo

WINNIE ATIENO NA KEVIN ODIT POLISI katika Kaunti ya Mombasa, wameonya watazima kampeni zote za kisiasa eneobunge la Nyali iwapo...