• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Sekta ya kilimo imepuuzwa – Ruto

NA SAMMY WAWERU GHARAMA ya juu ya chakula nchini inayoshuhudiwa imechangiwa kwa kiwango kikubwa na kupuuzwa kwa sekta ya...

Sonko amtaka Raila aachane na ‘suti’

NA WINNIE ATIENO ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, amemtaka mgombeaji urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Bw Raila...

Ruto na Matiang’i wavutania machifu

NA VALENTINE OBARA NAFASI ya machifu katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 inazidi kuibua hisia mseto baina ya viongozi...

Mbunge aahidi kupigania akina mama bungeni

NA TITUS OMINDE MBUNGE wa Kesses Swarup Mishra (pichani) ameahidi kuwasilisha bungeni hoja ya kuanzisha hazina ya akina mama na wajane...

Wake wa vigogo wajitosa kupigia debe mirengo yao

NA WANDERI KAMAU KAMPENI za Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 zinapoendelea kushika kasi, wake wa vigogo wakuu wa kisiasa pia wamejitokeza...

DCI yapaka tope IEBC kura ikibisha

NA JUMA NAMLOLA IDARA ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) imeendelea kuipaka tope Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) zikiwa zimebaki siku 14...

Wagombea urais waingia baridi kuhusu mdahalo

NA MARY WANGARI WASIWASI unakumba kikao cha mdahalo wa waniaji urais kesho Jumanne, baada ya wawaniaji watatu kutilia shaka...

IEBC: Ruto ataka Rais azime polisi

STANLEY NGOTHO NA CHARLES WASONGA NAIBU wa Rais, William Ruto sasa anamlilia Rais Uhuru Kenyatta akimtaka kuhakikisha uchaguzi wa Agosti...

Raila akataa kushiriki mdahalo wa urais

NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga amesema kuwa hatahudhuria mdahalo wa urais kati yake na...

Siasa: Maafisa waahidi kudumisha usalama Thika kukabiliana na magenge yanayohangaisha wawaniaji wa kike

NA LAWRENCE ONGARO WANAWAKE wanaowania viti vya uongozi katika kaunti ya Kiambu wamelalamika jinsi wapinzani wao wanaume...

Chebukati anaficha nini?

CHARLES WASONGA Na BENSON MATHEKA KATIKA kile Wakenya wengi wameanza kuchukulia kama hatua ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...

Gachagua aahidi kupiga marufuku mchele wa nje

NA GEORGE MUNENE MGOMBEA mwenza wa urais katika Kenya Kwanza Rigathi Gachagua, Ijumaa aliendesha kampeni katika kaunti ya Kirinyaga...