• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 5:46 PM

Adai Joho amzuia kuonana na Raila

NA WINNIE ATIENO MWANIAJI wa Ugavana kaunti ya Mombasa, Bw Hezron Awiti amelalamika kuwa Gavana Hassan Joho anamzuia kumuona kinara wa...

Naibu Rais apuuza umaarufu wa Raila maeneo ya Pwani

NA JURGEN NAMBEKA MGOMBEA wa urais wa chama cha UDA, Naibu Rais William Ruto na viongozi wengine wa muungano wa Kenya Kwanza, wamemsuta...

Ruto, Azimio-K wang’ang’ania Nyayo, Kasarani

NA WANDERI KAMAU NAIBU Rais William Ruto na muungano wa Azimio la Umoja wameanza kuzozana kuhusu atakayeandaa mkutano wake wa mwisho wa...

Ruto alia Uhuru alimsaliti huku Raila akimtetea

NA JUSTUS OCHIENG NAIBU wa Rais William Ruto amemshutumu Rais Uhuru Kenyatta kwa ‘kumsaliti’ na kuvunja ahadi ya kumuunga mkono...

Mikakati ya Uhuru kumpiga jeki Raila

NA BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta yumo mbioni kutekeleza mikakati inayolenga kuvutia wapigakura kumchagua mgombea urais wa muungano...

Ruto anamhemesha Raila hapa Pwani, Kingi asema

NA MAUREEN ONGALA GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi, amedai kuwa Naibu Rais, Dkt William Ruto, tayari ashamega ufuasi mkubwa Pwani dhidi...

Gachagua, Karua waanika wazi ukwasi wao

JUSTUS OCHIENG' Na CHARLES WASONGA MGOMBEA mwenza wa urais wa Kenya Kwanza Rigathi Gachagua na mwenzake wa Azimio Martha Karua Jumanne...

Kalonzo atikisa Azimio na wito wa suti ya Wiper Kitui

NA BONIFACE MWANIKI KINARA wa chama cha Wiper, Bw Stephen Kalonzo Musyoka, amerai wakazi wa eneo la Ukambani kumpa uwezo wa kutetea...

Mwaniaji alenga kura kwa ahadi ya pombe

NA ALEX KALAMA MGOMBEAJI ugavana katika Kaunti ya Kilifi kupitia Chama cha PAA, George Kithi, ameahidi kununulia wapigakura pombe ya...

Wajackoyah atishia kususia mdahalo

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa urais wa chama cha Roots George Wajackoyah ametishia kususia mdahalo wa wawaniaji wa urais akidai...

IEBC yakosa kutaja vituo visivyo na mfumo wa kisasa kutuma matokeo

NA SAMWEL OWINO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) bado imeweka siri taarifa kuhusu vituo 1,111 vya kupigia kura ambavyo havina...

Sonko anahatarisha kura Mombasa – IEBC

WINNIE ATIENO NA VALENTINE OBARA MUDA wa kuhudumu wa Gavana wa Mombasa, Hassan Joho, huenda ukaongezeka kufuatia mgogoro kuhusu iwapo...