• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 AM

Sonko anahatarisha kura Mombasa – IEBC

WINNIE ATIENO NA VALENTINE OBARA MUDA wa kuhudumu wa Gavana wa Mombasa, Hassan Joho, huenda ukaongezeka kufuatia mgogoro kuhusu iwapo...

Ruto, Raila waendelea kupimana misuli yao kwa kampeni Pwani

NA VALENTINE OBARA NAIBU wa Rais, Dkt William Ruto, amepanga kufanya ziara Pwani siku chache baada ya mpinzani wake wa uchaguzi wa...

Wajikaza kurithi viti vya jamaa zao

VALENTINE OBARA NA SIAGO CECE MSEMO wa kwamba ‘siasa iko kwa damu’, wakati mwingi hutumiwa kuashiria jinsi mja anavyoenzi siasa kwa...

Joho aanza kumpigia Nassir debe

NA WINNIE ATIENO GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, sasa amejitokeza wazi kupiga kampeni za kisiasa Mombasa baada ya kukosekana kwa...

EACC yashinikizwa ifuatilie matamshi ya Ruto kuhusu Wamalwa

NA TITUS OMINDE VIONGOZI kutoka Jamii ya Waluhya wanataka Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imtangaze Naibu Rais William...

Raila ‘aoshwa laana ya 1969’

NA WANDERI KAMAU MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio-One Kenya, Bw Raila Odinga, amepata mpenyo mkubwa wa kisiasa katika eneo la Mlima...

Umaarufu wa Kidero tishio kwa ubabe wa ODM Nyanza

NA GEORGE ODIWUOR WACHAMBUZI wa masuala ya siasa wanasema kuwa uchaguzi wa Agosti utakuwa mtihani mgumu kwa kinara wa ODM, Raila Odinga...

Njuki adai hatua ya Uhuru kuunga Raila imechemsha nchi

NA ALEX NJERU GAVANA wa Tharaka Nithi Muthomi Njuki amedai kuwa uamuzi wa Rais Uhuru Kenyatta kumuunga mkono mwaniaji wa urais wa...

Maajenti wa Ruto, Raila kuelekea Ugiriki kukagua uchapishaji wa karatasi za kura

NA JUSTUS OCHIENG WAWAKILISHI wa Naibu Rais William Ruto na mgombea urais wa Azimio Raila Odinga wanaelekea Ugiriki kukagua uchapishaji...

ODM, PAA watoana rangi katika kampeni kali Kilifi

Na WINNIE ATIENO WANASIASA wanaoegemea vyama vya ODM na PAA katika Kaunti ya Kilifi, wameimarisha kampeni zao wakiwasihi wakazi kupiga...

Mivutano yatishia hesabu za Ruto eneo la Magharibi

NA SHABAN MAKOKHA UBABE na vita vya ndani kwa ndani katika muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Naibu Rais Dkt William Ruto,...

Kingi ajitetea kuhusu ‘dhambi’ za utawala wa Joho

NA WINNIE ATIENO NAIBU Gavana wa Mombasa, Dkt William Kingi, amejitetea vikali dhidi ya lawama zinazomwandama kuhusu kushindwa kwa...