• Nairobi
  • Last Updated May 11th, 2024 8:55 AM

Mivutano yatishia hesabu za Ruto eneo la Magharibi

NA SHABAN MAKOKHA UBABE na vita vya ndani kwa ndani katika muungano wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Naibu Rais Dkt William Ruto,...

Kingi ajitetea kuhusu ‘dhambi’ za utawala wa Joho

NA WINNIE ATIENO NAIBU Gavana wa Mombasa, Dkt William Kingi, amejitetea vikali dhidi ya lawama zinazomwandama kuhusu kushindwa kwa...

Sonko aweka Azimio kwenye njia-panda

PHILIP MUYANGA NA VALENTINE OBARA HATUA ya aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, kuanza kuandamana na vinara wakuu wa chama cha...

Fanya fujo uone, Ruto aonya Raila

NA JUMA NAMLOLA NAIBU Rais William Ruto ametoa onyo kali kwa mgombeaji urais wa chama cha Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga...

Uhuru achomoa minofu kuzolea Raila kura urais

NA CECIL ODONGO ZIKIWA zimesalia chini ya wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9, Rais Uhuru Kenyatta ameonekana kugutuka na...

IEBC yakataa orodha ya walioteuliwa na vyama 79

BENSON MATHEKA Na WINNIE ONYANDO TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) imekataa orodha ya uteuzi ya vyama 79 vya kisiasa ikisema...

Kalonzo alaumu Ruto kuhusu bei za juu za bidhaa

NA PIUS MAUNDU KINARA wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka (pichani) amelaumu washirika wa Naibu Rais William Ruto kwa kuchangia mfumko wa...

Uwekezaji: Kenya yapakwa tope na ripoti ya IMF

NA WINNIE ONYANDO SHIRIKA la Fedha la Kimataifa (IMF) limeorodhesha Kenya kuwa nchi ya pili mbaya zaidi duniani kuwekeza hasa...

Pigo baada ya Chebukati kukataa orodha ya wabunge, maseneta na madiwani maalum

NA CHARLES WASONGA WANDANI wa vigogo wa kisiasa humu nchini Naibu Rais Dkt William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga walioteuliwa...

Balala avunja kimya, aidhinisha Mung’aro kwa ugavana Kilifi

NA WINNIE ATIENO HATIMAYE, Waziri wa Utalii na Wanyamapori nchini, Bw Najib Balala amevunja kimya chake na kuingilia siasa kwa...

Ufisadi: Karua atia ahadi yake doa kuu

NA WANDERI KAMAU MGOMBEA mwenza wa urais wa muungano wa Azimio, Bi Martha Karua ameonekana kuteleza kuhusu ahadi zake za kukabiliana na...

Majibizano makali yaendelea kuhusu matamshi ya Ruto

BRIAN OJAMAA Na WYCLIFFE NYABERI VIONGOZI wa chama cha DAP-K wamemkashifu vikali Naibu Rais William Ruto kuhusiana na matamshi aliyotoa...