• Nairobi
  • Last Updated May 10th, 2024 10:55 PM

Wanahabari wengi wanahofia kuhudhuria kampeni za Ruto – Utafiti

NA MARY WANGARI WANAHABARI wengi nchini wanahofia kufanya kazi na kiongozi wa Kenya Kwanza, Naibu Rais William Ruto ikilinganishwa na...

IEBC yamwidhinisha Sonko kuwania ugavana Mombasa

NA PHILIP MUYANGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imemwidhinisha Mike Sonko awanie ugavana Kaunti ya Mombasa. Afisa wa IEBC...

Sonko sasa kumtia Nassir presha mahakama ikimruhusu kuwania ugavana

NA PHILIP MUYANGA MAJAJI watatu wa Mahakama Kuu Jumatano walimruhusu aliyekuwa Gavana wa Nairobi, Mike Sonko kuwania wadhifa huo...

Jinsi vijana Meru walivyovuruga mkutano wa Gachagua

NA GITONGA MARETE MKUTANO wa mwaniaji mwenza wa Naibu Rais William Ruto, Rigathi Gachagua ulitibuka Jumatano katika soko la Mutuati,...

Gachagua ataka Raila akamatwe na kushtakiwa kwa kujiapisha kama rais 2018

NA GITONGA MARETE MGOMBEAJI urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga anafaa kukamatwa na kushtakiwa kwa kujiapisha kuwa “rais...

Matusi ya viongozi yaaibisha serikali

NA BENSON MATHEKA HUKU serikali ya Jubilee ikikaribia kuondoka mamlakani baada ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9, viongozi wake wameonyesha...

Tolgos atetea umaarufu wa Raila Rift Valley

NA FRED KIBOR MSHIRIKISHI wa Azimio la Umoja-One Kenya katika eneo la Bonde la Ufa, Gavana Alex Tolgos, amepuuzilia mbali dhana kwamba...

Urais: Midahalo ya wawaniaji wenza wa mirengo tofauti itafanyika Julai 19

NA CHARLES WASONGA MIDAHALO kati ya wagombea wenza kwenye kinyang'anyiro cha urais itafanyika Jumanne, Julai 19, 2022, katika Chuo Kikuu...

Sababu ya Muturi kuahirisha kikao maalum

NA CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi amefutilia mbali kikao maalum ambacho kiliratibiwa kufanyika leo Jumatano,...

Raila apuuza migogoro ndani ya Azimio Taita Taveta

NA JURGEN NAMBEKA MGOMBEA wa Urais kwa tiketi ya chama cha Azimio Raila Odinga, Jumanne amepuuza joto kuu la kisiasa la vyama tanzu...

Ubabe kisiasa Laikipia tishio kwa kura za Ruto

NA MWANGI NDIRANGU UBABE kisiasa kati ya vyama viwili Kaunti ya Laikipia ni tishio kubwa kwa kura za Naibu wa Rais, William...

Nilijiuzulu kuepuka kulipwa mshahara nisiofanyia kazi – Igathe

NA SAMMY WAWERU MGOMBEA wa ugavana Nairobi kwa chama cha Jubilee, Polycarp Igathe ametetea hatua yake ya kujiuzulu naibu gavana miezi...