• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 11:48 AM

Ruto afinya marafiki zake hadi nyumbani

NA LEONARD ONYANGO NAIBU Rais William Ruto huenda akasababisha washirika wake kukosa idadi kubwa ya wabunge baada ya chama chake cha...

Raila kuzuru Pwani telezi

LUCY MKANYIKA NA WINNIE ATIENO MWANIAJI wa urais wa chama cha Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga anaanza rasmi ziara ya eneo la...

Kibicho ataka UDA iwakome machifu

NA KENYA NEWS AGENCY KATIBU katika Wizara ya Usalama Karanja Kibicho amewataka viongozi wa Kenya Kwanza kukubali kuwa mkondo wa siasa...

Wawaniaji 3 washinda viti bila kupingwa na yeyote

NA MERCY CHELANGAT MGOMBEAJI mmoja wa kiti cha Mwakilishi wa Kike, na wawili wa udiwani wametangazwa washindi bila jasho baada ya kukosa...

Kindiki, Muturi walalama Uhuru hana shukurani

NA GEORGE MUNENE VIONGOZI wa Kenya Kwanza wikendi, walimkosoa Rais Uhuru Kenyatta, wakimtaja kama msaliti ambaye hana shukrani kwa...

Wagombeaji elfu 14 kuanguka Agosti 9

NA LEONARD ONYANGO WAGOMBEAJI viti 14,216 wanangojewa na majuto Agosti 9 kwani sharti wapoteze kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka...

Mbunge amrukia Joho akidai hajawafaa raia ila kujipenda tu

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Changamwe, Bw Omar Mwinyi amemkashifu Gavana Hassan Joho kwa kutowajibika kuhakikisha wakazi wa Mombasa...

Matumaini kijijini kwa Wajackoyah

NA BERNARD MWINZI HATUA ya Profesa George Wajackoyah kujitosa katika kinyang’anyiro cha urais, imebadilisha maisha ya kwao mashambani...

Sonko aachwa nje na IEBC

NA CHARLES WASONGA GAVANA wa zamani wa Nairobi Mike Sonko amepata pigo baada ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kukosa kuchapisha...

Washirika wa Ruto wazidi kuponda Uhuru

NA GEORGE MUNENE VIONGOZI wa muungano wa Kenya Kwanza, Jumamosi waliendeleza shutuma zao kwa Rais Uhuru Kenyatta wakimsuta kwa kumsaliti...

Niliogopa umwagikaji wa damu 2017 – Uhuru

NA LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta amekiri kuwa alikuwa tayari kujiondoa katika kinyang’anyiro cha urais baada ya Mahakama ya Juu...

Viongozi, wakazi wamkosoa Ruto kuhusu kafyu Marsabit

NA JACOB WALTER BAADHI ya viongozi na wakazi wa Marsabit, wamemkashifu Naibu Rais, Dkt William Ruto kutokana na matamshi yake kuwa kafyu...