NA BENSON MATHEKA WAGOMBEAJI wakuu wa urais katika uchaguzi mkuu ujao, Raila Odinga wa Azimio la Umoja-One Kenya na Naibu Rais William...
NA GITONGA MARETE GAVANA wa Meru Kiraitu Murungi amepigwa jeki pakubwa katika azma yake ya kuchaguliwa tena, baada ya baadhi ya...
NA CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imepuuzilia mbali madai ya mgombea urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila...
NA JACOB WALTER NAIBU Rais William Ruto anadai kuwa baadhi ya viongozi wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya wanamuunga mkono...
NA PHILIP MUYANGA CHAMA cha Wiper kilipenana barua kwa tume huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) kumteua mbunge wa Kisauni Ali Mbogo kama...
NA JAMES MURIMI MWANIAJI wa useneta Kaunti ya Nyeri kupitia Narc Kenya, Kabando Wa Kabando amelalamika kuwa timu inayoendesha kampeni ya...
NA STEVE NJUGUNA KAUNTI ya Laikipia ni mojawapo ya kaunti 47 nchini Kenya ambayo iko katika eneo la Bonde la Ufa. Kati ya watu wa...
NA PHILIP MUYANGA MATUMAINI ya Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko kuwania kiti cha ugavana katika Kaunti ya Mombasa jana Jumatatu...
NA LEONARD ONYANGO MDAHALO wa wawaniaji wa urais utafanyika siku 13 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9. Mkuu wa tume andalizi ya...
NA LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa makanisa wakiwemo mapasta, mapadri, mashemasi na wazee wa makanisa watalipwa mishahara na serikali...
NA LEONARD ONYANGO WANASIASA wanazidi kumwaga mabilioni ya fedha katika kampeni za uchaguzi wa Agosti 9 huku mamilioni ya wapigakura...
NA RUTH MBULA KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, amefichua kwamba juhudi zake za kusuluhisha mivutano ya kisiasa inayokumba chama hicho...