• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Ruto na Raila wazua vita kwa washirika wao

NA BENSON MATHEKA WAGOMBEAJI wakuu wa urais katika uchaguzi mkuu ujao, Raila Odinga wa Azimio la Umoja-One Kenya na Naibu Rais William...

Afueni kwa Murungi 500 wa chama cha PNU wakimuunga

NA GITONGA MARETE GAVANA wa Meru Kiraitu Murungi amepigwa jeki pakubwa katika azma yake ya kuchaguliwa tena, baada ya baadhi ya...

Kura: Chebukati sasa akanusha madai ya Raila

NA CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imepuuzilia mbali madai ya mgombea urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila...

Ruto adai baadhi ya viongozi wa Azimio wanamuunga mkono kisiri

NA JACOB WALTER NAIBU Rais William Ruto anadai kuwa baadhi ya viongozi wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya wanamuunga mkono...

Wiper iliteua Sonko naibu wa Mbogo – wakili aeleza

NA PHILIP MUYANGA CHAMA cha Wiper kilipenana barua kwa tume huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) kumteua mbunge wa Kisauni Ali Mbogo kama...

Kabando adai ubaguzi ndani ya Azimio Nyeri

NA JAMES MURIMI MWANIAJI wa useneta Kaunti ya Nyeri kupitia Narc Kenya, Kabando Wa Kabando amelalamika kuwa timu inayoendesha kampeni ya...

KINYANG’ANYIRO 2022: Kaunti ya Laikipia

NA STEVE NJUGUNA KAUNTI ya Laikipia ni mojawapo ya kaunti 47 nchini Kenya ambayo iko katika eneo la Bonde la Ufa. Kati ya watu wa...

Mahakama yampa Sonko matumaini ya kuwa debeni

NA PHILIP MUYANGA MATUMAINI ya Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko kuwania kiti cha ugavana katika Kaunti ya Mombasa jana Jumatatu...

Mdahalo wa wagombeaji wa urais kuandaliwa siku 13 kabla ya upigaji kura

NA LEONARD ONYANGO MDAHALO wa wawaniaji wa urais utafanyika siku 13 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9. Mkuu wa tume andalizi ya...

Mapasta, mapadri na mashemasi kulipwa na serikali – David Waihiga

NA LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa makanisa wakiwemo mapasta, mapadri, mashemasi na wazee wa makanisa watalipwa mishahara na serikali...

Wanasiasa wachoma mabilioni njaa ikiuma

NA LEONARD ONYANGO WANASIASA wanazidi kumwaga mabilioni ya fedha katika kampeni za uchaguzi wa Agosti 9 huku mamilioni ya wapigakura...

Raila: Nimetamaushwa na mivutano ya ODM Kisii

NA RUTH MBULA KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, amefichua kwamba juhudi zake za kusuluhisha mivutano ya kisiasa inayokumba chama hicho...