• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 9:50 AM

Raila akunja mkia kuhusu vyama tanzu

BENSON MATHEKA Na GEORGE ODIWUOR MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga ameonekana kuingiwa na baridi na...

Kalonzo asisitiza lazima Sonko awe debeni Agosti 9

NA WINNIE ATIENO KIONGOZI wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka amesisitiza kuwa gavana wa zamani wa Kaunti ya Nairobi, Bw Mike Sonko, atakuwa...

Raila alilia ngome yake isimwangushe uchaguzini Agosti

NA GEORGE ODIWUOR MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya amesihi wakazi katika ngome yake ya Nyanza wajitokeze kwa wingi...

Wito Karua aongezewe walinzi katika mikutano yake ya kisiasa

NA GEORGE MUNENE VIONGOZI wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya kutoka Kaunti ya Kirinyaga sasa wanataka mgombeaji mwenza wa muungano...

Ruto amlima Uhuru waziwazi

CHARLES WASONGA Na BENSON MATHEKA NAIBU Rais William Ruto sasa ameamua kumshambulia moja kwa moja mkubwa wake, Rais Uhuru Kenyatta...

Ruto, Raila sasa waibiana ahadi

NA WANDERI KAMAU BAADA ya Naibu Rais William Ruto na mwaniaji urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bw Raila Odinga, kuzindua...

Jumwa amsifia Ruto, asema ndiye suluhu ya uchumi wa nchi uliodorora

NA ALEX KALAMA MGOMBEA ugavana wa kaunti ya Kilifi kupitia chama cha UDA ambaye ni mbunge wa Malindi Aisha Jumwa amewataka wakazi wa...

Washirika wa Ruto na Kuria wazozana kuhusu kampeni

NA JAMES MURIMI WASHIRIKA wa Naibu Rais na wa mbunge wa Gatundu Kusini Moses Kuria wanaogombea viti mbalimbali kwa tiketi za vyama tanzu...

Ruto aapa kuandama Rais Kenyatta

NA WALTER MENYA NAIBU Rais William Ruto ameapa kuunda tume ya mahakama kuchunguza vitendo na sera za Rais Uhuru Kenyatta iwapo atashinda...

Nitafurusha jeshi la Uganda kutoka Migingo – Raila

IAN BYRON NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga ameahidi kutimua wanajeshi wa Uganda kutoka kwenye...

Ruto aahidi kuokoa Wakenya kiuchumi

LEONARD ONYANGO na CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ameahidi kuchukua hatua za kukwamua Kenya kutokana na matatizo ya kiuchumi...

Wajackoyah kutumia bangi, nyoka na mbwa kukwamua Kenya kutokana na umaskini

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI urais wa chama cha Roots, George Wajackoya atapatia kipaumbele kilimo cha bangi, ufugaji wa nyoka na mbwa...