• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:47 PM

Nitajenga kwangu kasri la kula na kunywa – Rigathi

NA STEPHEN MUNYIRI MWANIAJI mwenza wa Urais wa Muungano wa Kenya Kwanza Rigathi Gachagua amezua kioja tena kwa kuahidi kujenga jumba la...

Kenya Kwanza yadai bandari zote nchini zimeuzwa kwa Dubai

NA LEONARD ONYANGO MUUNGANO wa Kenya Kwanza unaoongozwa na Naibu wa Rais William Ruto sasa unadai Serikali inapanga kukabidhi bandari...

Ruto akubaliana na IEBC, Raila apinga

NA CHARLES WASONGA WAGOMBEAJI wakuu wa urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, William Ruto na Raila Odinga jana walitofautiana...

Kiraitu aapa kuangusha Mbunge uchaguzini ubabe kati yake na Munya ukizidi

NA GITONGA MARETE GAVANA Kiraitu Murungi ameapa kuendesha kampeni ya kumpinga vikali Mbunge wa Afrika Mashariki, Mpuru Aburi ili...

Ruto asema hana shida na maafisa wa IEBC

NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) William Ruto amesema kuwa hana malalamishi kuhusu namna...

Wajackoyah ampa Raila bonga points

BENSON MATHEKA Na RUSHDIE OUDIA MGOMBEA urais wa chama cha Roots Party, George Wajackoyah amewasisimua wafuasi wa mgombea urais wa...

KINYANG’ANYIRO 2022: Pokot Magharibi

UKUBWA: kilomita mraba 9,169 IDADI YA WATU: 621, 241 WAPIGAKURA: 220,026 MAENEO BUNGE: Kapenguria, Kacheliba, Pokot Kusini na...

Kenya Kwanza kukagua matumizi ya pesa chini ya utawala wa Uhuru

NA CECIL ODONGO KINARA wa Amani National Congress (ANC), Musalia Mudavadi alisema Jumanne kuwa iwapo Muungano wa Kenya Kwanza utatwaa...

Beth Mugo apinga uamuzi wa IEBC kutumia KIEMs pekee kuwatambua wapigakura

NA CHARLES WASONGA SENETA maalum Beth Mugo ndiye mwanasiasa wa hivi punde kupinga uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...

Mivutano yatishia kampeni za Ruto

NA WANDISHI WETU KAMPENI za Naibu Rais William Ruto zimo kwenye hatari ya kusambaratika katika baadhi ya maeneo kutokana na mivutano...

KINYANG’ANYIRO 2022: Kaunti ya Kisumu

NA VICTOR RABALLA KISUMU ni jiji la tatu kwa ukubwa nchini baada ya Nairobi na Mombasa. Ingawa mgombea wa urais wa chama cha Azimio...

PAA sasa yamezwa na Kenya Kwanza, yashindwa kupaa

BRIAN OCHARO Na MAUREEN ONGALA CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA) kinachoongozwa na Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, kimeshindwa...