• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 5:45 AM

Uhasama wa ndani watesa miungano

NA WAANDISHI WETU JINAMIZI la ushindani na kutoheshimiana limejitokeza katika mirengo ya Azimio-One Kenya na Kenya Kwanza, na kutishia...

Wapinzani wa Nassir walia serikali ya Joho inawatesa

NA WAANDISHI WETU SERIKALI ya Kaunti ya Mombasa, imezidi kulaumiwa kwa madai ya kuwahangaisha wawaniaji wa ugavana wanaounga mkono...

Uhuru abebe msalaba wa dhambi za Jubilee, Ruto asema akihojiwa

NA LEONARD ONYANGO NAIBU wa Rais William Ruto amesema kuwa Rais Uhuru Kenyatta ndiye anastahili kubebeshwa lawama za serikali ya...

Msimu wa mapanga waandama kampeni

RUTH MBULA na FRED KIBOR HOFU ya kuzuka kwa ghasia katika uchaguzi imeongezeka nchini baada ya polisi, kwa mara ya pili, kunasa shehena...

Ruto, Raila pabaya kwa kutumia ‘mali ya umma’ kujipigia debe

NA MERCY SIMIYU MASHIRIKA sita ya kijamii yanataka wawaniaji wakuu kwenye uchaguzi wa urais mwezi Agosti wakome kutumia rasilmali za...

Ruto na Raila wapigania miradi ya Rais

NA WAANDISHI WETU MIRADI iliyoanzishwa na Serikali ya Jubilee inayokadiriwa kugharimu takriban Sh1.4 trilioni katika ukanda wa Pwani,...

Tatizo la digrii lawakosesha Samboja na Sakaja usingizi

NA RICHARD MUNGUTI MAPEPO ya digrii yameendelea kuwaandama Gavana Granton Samboja na Seneta wa kaunti ya Nairobi Johnson...

Fataki zalipuka mdahalo wa ugavana ‘001’

NA WINNIE ATIENO WAWANIAJI kiti cha ugavana katika Kaunti ya Mombasa kupitia vyama vya Usawa kwa Wote, Pamoja African Alliance (PAA) na...

Karua aahidi kuyeyusha umaarufu wa Naibu Rais

MWANGI MUIRURI na LEONARD ONYANGO MGOMBEA mwenza wa urais kwa tikiti ya Azimio, Bi Martha Karua ameapa kumaliza umaarufu wa Naibu wa...

Ruto awaahidi kinamama vinono akiunda serikali

NA MARY WANGARI NAIBU wa Rais William Ruto jana Ijumaa aliahidi vinono wanawake katika serikali yake iwapo atashinda urais Agosti...

Raila atuma Karua ngome ya Ruto

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa urais wa Azimio la Umoja Raila Odinga ametuma mgombea mwenza wake Martha Karua katika ngome ya mpinzani...

Kesi ya Sonko na IEBC kuhusu idhini ya kuwania ni wiki ijayo

NA PHILIP MUYANGA OMBI la gavana wa zamani wa Nairobi, Bw Mike Sonko, la kupinga uamuzi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC)...