• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 10:48 AM

Mudavadi ahofia kubaki kwa mataa kisiasa baada ya Agosti 9

NA SHABAN MAKOKHA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, ameingiwa na hofu ya kujipata kwenye baridi...

Ruto, Raila wahepa marafiki wa karibu

NA LEONARD ONYANGO NAIBU Rais William Ruto na mshindani wake mkuu wa kiti cha urais kwenye Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, Raila Odinga...

Mung’aro aahidi kuongeza bajeti ya sekta ya elimu akishinda Agosti

NA WINNIE ATIENO MWANIAJI ugavana katika Kaunti ya Kilifi kupitia Chama cha ODM, Bw Gideon Mung’aro, ameahidi kuzingatia sekta ya...

Naibu Gavana wa Mombasa adai kuhangaishwa na maafisa Kaunti

NA FARHIYA HUSSEIN NAIBU Gavana wa Mombasa, Dkt William Kingi, amedai kuhangaishwa na maafisa wa usalama wa kaunti hiyo. Dkt Kingi...

Gavana Samboja kumenyana na wengine 12 Kaunti

NA KNA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), imewaidhinisha wagombeaji wote 13 wa ugavana waliotathminiwa Kaunti ya Taita...

Chebukati aahirisha uchapishaji wa sajili ya wapigakura baada ya dosari kadhaa kubainika

Na CHARLES WASONGA TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) sasa imesogeza siku ya kuchapisha sajili ya mwisho ya wapigakura kutoka Juni 9...

Wajackoyah aahidi kuimarisha ufugaji wa nyoka akichaguliwa rais

NA SAMMY WAWERU NITAZINDUA ufugaji wa nyoka nchini endapo nitaibuka mshindi kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao Agosti 9, ameahidi...

Wanawake wajitosa siasa za ngazi ya juu

NA CHARLES WASONGA HISTORIA imeandikishwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu baada ya idadi kubwa ya wanawake kuidhinishwa kuwania...

Sonko azidi kusukuma IEBC muda ukiyoyoma

ANTHONY KITIMO NA VALENTINE OBARA HATIMA ya kisiasa ya gavana wa zamani wa Nairobi, Bw Mike Sonko, kuwania ugavana Mombasa, ingali...

Ruto amponda Raila kuhusu mitumba

NA MANASE OTSIALO NAIBU Rais William Ruto amemsuta mgombea urais wa Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga kuhusu uagiziaji...

Maoni yaweka Raila hatua kadhaa mbele ya Ruto

WANDERI KAMAU NA MARY WANGARI MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio-One Kenya, Raila Odinga, anaongoza kwa umaarufu uchaguzi mkuu wa...

UDA bado ndio kusema Mlima Kenya – Gachagua

NA KENYA NEWS AGENCY MWANIAJI mwenza wa Kenya Kwanza Rigathi Gachagua (pichani) ameshikilia kuwa muungano huo ungali na uungwaji mkubwa...