NA JUSTUS OCHIENG MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya anakabiliwa na kibarua kigumu cha atakavyowatuza washirika wake...
NA VALENTINE OBARA CHAMA cha kisiasa cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, kimelenga kuleta mabadiliko katika sekta kadha...
NA BENSON MATHEKA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga ameahidi kugeuza Kenya kuwa paradiso akichaguliwa...
NA LEONARD ONYANGO WAWANIAJI wote 40 waliokuwa wakimezea mate urais kwa tiketi huru wametupwa nje huku wawaniaji wanne wakiidhinishwa...
NA CHARLES WASONGA SENETA wa Murang’a Irungu Kang’ata sasa amefafanua kuwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) haikukosa...
NA PIUS MAUNDU AZMA ya Gavana wa Makueni Profesa Kivutha Kibwana ya kugombea useneta ilipigwa jeki, baada ya kuidhinishwa na baadhi ya...
NA BENSON MATHEKA HATIMA ya Gavana wa Machakos Alfred Mutua, mwenzake wa Kilifi Amason Kingi na Spika wa Bunge ya Kitaifa Justin Muturi...
NA KENYA NEWS AGENCY MWANIAJI wa kiti cha ugavana Kaunti ya Murang’a, Irungu Nyakera amewataka polisi kuwasaka na kuwakamata watu...
NA TITUS OMINDE MGOMBEAJI ugavana Kaunti ya Uasin Gishu, Bw Zedekiah Bundotich, anayefahamika kama Buzeki, ameonya wanasiasa...
NA ERIC MATARA UHASAMA wa kisiasa kati ya seneta wa Nakuru, Susan Kihika na wabunge wa eneo hilo ambao ni wafuasi wa Naibu wa Rais,...
NA CHARLES WASONGA CHAMA cha Wiper sasa kitalazimika kuteua mgombea mwingine wa ugavana wa Mombasa kabla ya Juni 9, 2022 baada ya Tume...
NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga na mgombea mwenza wake Martha Karua mnamo...