• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 3:13 PM

Washirika Azimio kumnyima Raila usingizi akipita

NA JUSTUS OCHIENG MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya anakabiliwa na kibarua kigumu cha atakavyowatuza washirika wake...

Raila afafanua jinsi atakavyobadilisha uchumi wa Pwani

NA VALENTINE OBARA CHAMA cha kisiasa cha Muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, kimelenga kuleta mabadiliko katika sekta kadha...

Raila aahidi Wakenya vitamu

NA BENSON MATHEKA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga ameahidi kugeuza Kenya kuwa paradiso akichaguliwa...

Wanne kati ya 58 wapitishwa kuwania urais

NA LEONARD ONYANGO WAWANIAJI wote 40 waliokuwa wakimezea mate urais kwa tiketi huru wametupwa nje huku wawaniaji wanne wakiidhinishwa...

Kang’ata apuuza madai kuhusu kuzimwa kwake

NA CHARLES WASONGA SENETA wa Murang’a Irungu Kang’ata sasa amefafanua kuwa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) haikukosa...

Wazee waunga azma ya Kibwana kuwania useneta

NA PIUS MAUNDU AZMA ya Gavana wa Makueni Profesa Kivutha Kibwana ya kugombea useneta ilipigwa jeki, baada ya kuidhinishwa na baadhi ya...

Kingi, Muturi na Mutua hatarini msajili akikosa kuwatambua

NA BENSON MATHEKA HATIMA ya Gavana wa Machakos Alfred Mutua, mwenzake wa Kilifi Amason Kingi na Spika wa Bunge ya Kitaifa Justin Muturi...

Nyakera awataka polisi kuwakamata walioharibu gari lake la kampeni

NA KENYA NEWS AGENCY MWANIAJI wa kiti cha ugavana Kaunti ya Murang’a, Irungu Nyakera amewataka polisi kuwasaka na kuwakamata watu...

Msiingilie kampeni zetu – Buzeki aonya

NA TITUS OMINDE MGOMBEAJI ugavana Kaunti ya Uasin Gishu, Bw Zedekiah Bundotich, anayefahamika kama Buzeki, ameonya wanasiasa...

Uhasama wa Kihika, wabunge tishio kwa kura za Ruto Nakuru

NA ERIC MATARA UHASAMA wa kisiasa kati ya seneta wa Nakuru, Susan Kihika na wabunge wa eneo hilo ambao ni wafuasi wa Naibu wa Rais,...

Mombasa: Wiper ina hadi Juni 9

NA CHARLES WASONGA CHAMA cha Wiper sasa kitalazimika kuteua mgombea mwingine wa ugavana wa Mombasa kabla ya Juni 9, 2022 baada ya Tume...

Raila apewa kibali cha kujaribu mara ya tano bahati yake kuwa rais

NA CHARLES WASONGA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga na mgombea mwenza wake Martha Karua mnamo...