• Nairobi
  • Last Updated April 30th, 2024 8:55 PM

Ruto arudi Taveta baada ya shamba lake kuibua gumzo

LUCY MKANYIKA NA VALENTINE OBARA NAIBU Rais William Ruto, Jumatatu alirudi tena Pwani kwa kampeni zake, siku chache tu baada ya msururu...

Mbinu chafu zatishia uadilifu wa uchaguzi

NA CHARLES WASONGA HUKU kampeni za uchaguzi mkuu wa Agosti 9 zikishika kasi, matumizi ya mbinu chafu za kusaka uungwaji mkono zinaharibu...

Wa Iria azua rabsha Bomas akitaka kibali cha kuwania urais

NA LEONARD ONYANGO GAVANA wa Murang’a Mwangi Wa Iria alizua sarakasi katika ukumbi wa Bomas, Nairobi, akipinga kuachwa nje ya...

Muthama apuuzilia mbali madai anataka kujiondoa UDA

NA CHARLES WASONGA MWENYEKITI wa kitaifa wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Johnson Muthama amekana uvumi unaoenea mitandaoni...

Umaskini wafaidi kampeni za vigogo

NA COLLINS OMULO NAIBU Rais William Ruto na mwaniaji urais wa muungano wa Azimio La Umoja-One Kenya Raila Odinga wanatumia suala la...

IEBC kutathmini tisa wanaotaka kumrithi Joho

VALENTINE OBARA NA KEVIN ODIT TUME Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), imepanga kutathmini stakabadhi za wawaniaji tisa wa ugavana...

Polisi wafuatilia madai dhidi ya mbunge wa Bahati

NA MERCY KOSKEY POLISI katika Kaunti ya Nakuru wanafuatilia kisa ambapo mwendeshaji kampeni wa Mbunge wa Bahati, Bw Kimani Ngunjiri,...

Ugatuzi: Kilio cha magavana

NA SHABAN MAKOKHA MAGAVANA wanaoondoka wametaja ukosefu wa nia njema ya kisiasa kuwa kizingiti katika utekelezaji wa mfumo wa ugatuzi...

Weta sasa kuvumisha Ruto kikamilifu akisubiri kutetea kiti Bungoma

NA BRIAN OJAMAA KIONGOZI wa Ford Kenya, Jumapili aliidhinishwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kutetea kiti chake cha Useneta...

Sonko atumia mbinu za kale kupenya Mombasa

NA FARHIYA HUSSEIN ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, amesisitiza ataendelea kutumia mbinu zake za tangu zamani kupiga kampeni...

Kalonzo kuwasilisha karatasi za uteuzi wa urais siku moja na Ruto

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto na aliyekuwa Waziri Mkuu Raila Odinga watawasilisha stakabadhi zao za uteuzi kuwania urais...

Kindiki ahimizwa akubali uwaziri Ruto akishinda urais Agosti

NA ALEX NJERU SENETA wa kaunti ya Tharaka Nithi Profesa Kithure Kindiki, amehimizwa kukubali wadhifa wa waziri mwenye nguvu iwapo Naibu...