• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 7:47 PM

Wapinzani watoa habari za uongo kunivuruga – Kidero

NA GEORGE ODIWUOR ALIYEKUWA gavana wa Nairobi Dkt Evans Kidero (pichani), amelalamika kuwa wapinzani wake wanatishia wapigakura kwa...

Gachagua apotezea Kenya Kwanza kura

NA BENSON MATHEKA MWANIAJI mwenza wa muungano wa Kenya Kwanza, Bw Rigathi Gachagua, anaonekana kuvuruga muungano huo kwa matamshi...

Kalonzo atarajiwa tena Azimio

NA PIUS MAUNDU KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka alikuwa ameamua kujiunga na kampeni za kumpigia debe mgombea urais wa muungano wa...

Kingi ni msaliti, viongozi wadai

NA WINNIE ATIENO BAADHI ya viongozi wa pwani wamedai kwamba Gavana wa Kilifi Amason Kingi alisaliti eneo la Pwani kwa kujiunga na...

IEBC yampa Kalonzo muda wa hadi Jumapili Mei 29 kuwasilisha stakabadhi kwa mfumo sahihi

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka amepata afueni ya muda katika juhudi zake za kuidhinishwa kuwania urais baada ya...

Kalonzo nje ya urais, sasa kurejea Azimio wiki ijayo

NA CECIL ODONGO KINARA wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka huenda akalazimika kurejea katika Muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya baada ya...

Karua ahofia kura kurudiwa kama 2017

CECIL ODONGO NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI mwenza wa urais wa muungano wa Azimio Martha Karua sasa anaitaka tume ya uchaguzi kuelezea...

Gachagua asema wawaniaji huru wanaongozwa na ubinafsi

NA FLORAH KOECH MBUNGE wa Mathira Rigathi Gachagua ambaye ni mgombeaji mwenza wa Naibu Rais Dkt William Ruto amewakashifu wanasiasa...

Nilikuwa mstari wa mbele kuhakikisha Lamu inakuwa na lami – Ruto

NA KALUME KAZUNGU NAIBU wa Rais, William Ruto aliendeleza majisifu yake kwa kutumia miradi ya serikali kuu ambayo utawala wake amekuwa...

Wawaniaji 16 wa urais wawasilisha saini zao kwa IEBC

NA JURGEN NAMBEKA ANGALAU wagombeaji 16 wa urais katika uchaguzi mkuu ujao, waliwasilisha sahihi pamoja na nakala za vitambulisho, kama...

Karua atoa ahadi ya kuzidi kutetea wanawake wote

NA KENYA NEWS AGENCY MGOMBEAJI mwenza katika muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya; Bi Martha Karua amesema uteuzi wake umewashaajisha...

Wafuasi wa Ruto wahofia wimbi la Karua

NA WANDERI KAMAU HATUA ya mwanasiasa Mwangi Kiunjuri kuwarai wenyeji wa Mlima Kenya kuwapigia kura viongozi bila kujali vyama vyao,...