• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 9:50 AM

Ruto aahidi atakubali matokeo akishindwa

NA LEONARD ONYANGO NAIBU RAIS William Ruto jana aliahidi kuwa atakubali matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao ikiwa atashindwa katika...

PAA yajipata pabaya Jumwa akikaa ngumu

VALENTINE OBARA NA PHILIP MUYANGA CHAMA cha Pamoja African Alliance (PAA) kinachoongozwa na Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, kinapitia...

Didmus Barasa asema anayefaa kukamatwa ni Raila

NA WANGU KANURI MBUNGE wa Kimilili Didmus Barasa amewanyooshea kidole wanasiasa wanaoshawishi polisi kumkamata baada ya kubandika posta...

Ruto ajivisha kofia aliyovaa Raila 2017

NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto amejipata katika mazingira ya kisiasa ambayo mpinzani wake mkuu katika kinyang’anyiro cha...

Ruto asukuma Kingi na Jumwa meza moja

NA WAANDISHI WETU GAVANA wa Kilifi, Bw Amason Kingi na mbunge wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, Jumatano walikumbwa na changamoto kutuliza...

Ruto arushia wanawake chambo kwa ahadi ya kuwapa nusu ya mawaziri

VALENTINE OBARA NA WINNIE ATIENO NAIBU Rais William Ruto, amerushia chambo wapigakura wa kike kwa kuahidi kuwatengea nusu ya idadi ya...

Musalia, Wetang’ula wamtetea Didmus

NA BRIAN OJAMAA KIONGOZI wa ANC Musalia Mudavadi na mwenzake wa Ford Kenya Moses Wetangula, wamemtetea Mbunge wa Kimilili Didmus Barasa...

Waruguru aponda wawaniaji UDA

Na JAMES MURIMI MBUNGE Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Laikipia Catherine Waruguru sasa anadai kuwa wanasiasa walioshinda mchujo wa UDA...

Karua apiga jeki wawaniaji wa kike – Utafiti

NA CHARLES WASONGA KUTEULIWA kwa kiongozi wa Narc-Kenya Martha Karua kuwa mgombea mwenza wa mgombea urais wa muungano wa Azimio la...

Ruto aeleza jinsi alivyofanikiwa kumiliki ardhi kubwa Taveta

VALENTINE OBARA NA LUCY MKANYIKA NAIBU wa Rais William Ruto, hatimaye ameeleza wazi jinsi alivyofanikiwa kumiliki sehemu kubwa ya ardhi...

Ubinafsi watajwa kiini cha viongozi kuhama kila mara

NA WANDERI KAMAU IMEBAINIKA kuwa lengo kuu la wanasiasa wengi wanaohama kutoka mrengo mmoja wa kisiasa hadi mwingine Uchaguzi Mkuu wa...

Kalonzo akosa njia, Azimio wamtarajia

COLLINS OMULO Na JUSTUS OCHIENG KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka anajiandaa kurejea katika muungano wa Azimio, wiki moja tu baada ya...