• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 4:54 PM

Viongozi wa Kenya Kwanza waahidi kuondoa mashine za kuvuna majanichai

NA KENYA NEWS AGENCY VIONGOZI mbalimbali wa muungano wa Kenya Kwanza wakiongozwa na mwaniaji mwenza wa William Ruto, Rigathi Gachagua...

Raila apanga mikakati ya kujizolea kura nyingi kaunti 7 ngome ya Ruto

NA ERIC MATARA MGOMBEA urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya ameweka mikakati ya kuyeyusha umaarufu wa Naibu Rais William Ruto...

Kwekwe kuendelea kumpigia debe Boga

NA SIAGO CECE KATIBU wa idara ya serikali ya urekebishaji tabia, Bi Safina Kwekwe, ameahidi kuendelea kumpigia debe Prof Hamadi Boga kwa...

Sonko aanza kusuasua

NA FARHIYA HUSSEIN ALIYEKUWA gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, ameanza kupanga mikakati upya baada ya uwezekano wake kuwania ugavana...

Ruto atarajiwa Pwani wandani wakizozana

NA WINNIE ATIENO NAIBU Rais William Ruto anazuru Pwani leo Jumanne, wakati muungano wake wa Kenya Kwanza ukiendelea kuyumba kufuatia...

Raila kukita kambi katika ngome ya Mudavadi

NA DERICK LUVEGA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga anatarajiwa kukita kambi katika Kaunti ya Vihiga wiki hii katika...

Pigo kwa Chris Wamalwa kambi ya Natembeya ikipigwa jeki

NA GERALD BWISA MBUNGE wa Kiminini Chris Wamalwa anayewania kiti cha ugavana Trans Nzoia amepata pigo, baada ya mmoja wa waliokuwa...

Walimu waunga azma ya Wanga kuwania ugavana

NA GEORGE ODIWUOR AZMA ya Mbunge Mwakilishi wa Kike wa Homa Bay Gladys Wanga (pichani) ya kuwania ugavana wa Homa Bay, imepigwa jeki...

Kalonzo kuamua leo ikiwa ama atawania au atarejea Azimio

JUSTUS OCHIENG NA MOSES NYAMORI KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka leo Jumatatu ataamua ikiwa atawania urais kivyake au atarejea katika...

Karua afufua Raila katika Mlima Kenya

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Narc Kenya, Martha Karua, ameleta mwamko mpya katika kampeni za Raila Odinga eneo la Mlima Kenya tangu...

Washirika wa Raila Magharibi wamrai Kalonzo kurudi Azimio

NA SHABAN MAKOKHA WASHIRIKA wa mgombea urais wa Azimio Umoja One Kenya, Raila Odinga eneo la Magharibi, wamemrai kiongozi wa Wiper...

Wakazi wanung’unika baada ya Ruto kuteua mwaniaji kiti Mathira

NA STEPHEN MUNYIRI BAADA ya kumteua Rigathi Gachagua kuwa mgombeaji mwenza wake, Naibu Rais William Ruto wikendi alimuidhinisha diwani...