• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 12:38 PM

Pingamizi dhidi ya Sonko hazina msingi – Mbogo

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Kisauni, Bw Ali Mbogo (pichani), amedai kuwa aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, anaandamwa kwa vile...

Jumwa sasa amrukia Ruto mvutano na Kingi ukizidi

NA MAUREEN ONGALA MBUNGE wa Malindi, Bi Aisha Jumwa, sasa anamtaka Naibu Rais, Dkt William Ruto, kuweka wazi mkataba kati ya muungano wa...

ODM motoni kuacha Maitha katika mataa

VALENTINE OBARA NA WACHIRA MWANGI SIASA si hasa, ni msemo ambao hutumiwa na wengi kuashiria jinsi ulingo wa siasa unavyogeuka na...

Mkataba wa Ruto na Muturi wazimwa

NDUBI MOTURI Na CHARLES WASONGA JOPO la kutatua mizozo ndani ya Vyama vya Kisiasa (PPDT) limefutilia mbali mkataba wa kubuni muungano...

Muthama akwepa tena kampeni za Ruto Machakos kwa sababu ya Gavana Mutua

PIUS MAUNDU na CHARLES WASONGA KWA mara nyingine, mwenyekti wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Johnson Muthama, Ijumaa...

Kundi lataka wandani wa Raila na Ruto wazuiwe kugombea vyeo Agosti 9

NA CHARLES WASONGA WANDANI wa wagombeaji wakuu wa urais Naibu Rais William Ruto na Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga ni miongoni mwa...

Sababu za Karua kukwepa Uhuru

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI mwenza wa urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Bi Martha Karua, amekuwa akikwepa kuimiminia sifa serikali ya...

Huenda IEBC ikamwidhinisha Kalonzo kuwania urais kivyake

WALTER MENYA na SAMWEL OWINO HUENDA kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka akaruhusiwa kuwania urais endapo hakutakuwa na agizo la mahakama...

Wagombea urais 55 wahatarisha uchaguzi

NA LEONARD ONYANGO USIMAMIZI wa Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, hasa kiti cha urais unatarajiwa kukumbwa na changamoto tele iwapo watu wote...

Boga sasa abadili mgombea mwenza

NA SIAGO CECE SASA ni rasmi kuwa katibu wa idara ya serikali ya urekebishaji tabia, Bi Safina Kwekwe, hatakuwa mgombea mwenza wa aliyekuwa...

Wawaniaji huru tisa kumkabili ‘Jicho Pevu’

NA VALENTINE OBARA ENEOBUNGE la Nyali lina idadi kubwa zaidi ya wagombeaji huru waliojiandikisha kutaka kushiriki katika uchaguzi wa...

Patrick Jungle na Anne Nyokabi waahidi kuwaletea wakazi wa Kiambu maendeleo ya kweli

NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bw Patrick 'Jungle' Wainaina amemteua Bi Anne Nyokabi Gatheca awe mgombea mwenza wake katika...