• Nairobi
  • Last Updated May 7th, 2024 5:26 PM

Wawaniaji huru tisa kumkabili ‘Jicho Pevu’

NA VALENTINE OBARA ENEOBUNGE la Nyali lina idadi kubwa zaidi ya wagombeaji huru waliojiandikisha kutaka kushiriki katika uchaguzi wa...

Patrick Jungle na Anne Nyokabi waahidi kuwaletea wakazi wa Kiambu maendeleo ya kweli

NA LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Bw Patrick 'Jungle' Wainaina amemteua Bi Anne Nyokabi Gatheca awe mgombea mwenza wake katika...

Alama za wagombeaji huru wa urais zazua hali ya kukanganya

NA WANDERI KAMAU IDADI kubwa ya wawaniaji huru wa urais imewafanya kuteua alama za kujitambulisha ambazo baadhi ni za vyama...

Kalonzo aonekena kujaa masumbuko

NA BENSON MATHEKA VIGOGO wa siasa wanapoendelea kujipanga kwa Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9, Kiongozi wa Wiper Kalonzo Musyoka bado...

Sifa hasi ya kiongozi asiye na msimamo yaandama Kalonzo

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka ni mwanasiasa wa kipekee kutokana na hulka yake ya kubadili misimamo ya kisiasa...

IEBC: 5,800 kuwania viti bila vyama

NA LEONARD ONYANGO JUMLA ya watu 5,801 wamejitokeza kuwania viti mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Agosti 9 kama wagombea...

Ukimwi: Himizo watu waendelee kubaini hali zao

NA ALEX KALAMA BARAZA la Kitaifa la kudhibiti maambukizi ya Ukimwi, limehimiza Wakenya kuendelea kujitokeza kupimwa hali...

Gachagua amtetea Ruto kwa kumteua mgombea mwenza

NA KENYA NEWS AGENCY MBUNGE wa Mathira, Bw Rigathi Gachagua, amemtetea Naibu Rais William Ruto kwa kumteua kama mgombea mwenza wake...

Jumla ya watu 55 wanataka kuwania urais

NA CHARLES WASONGA HUENDA karatasi ya kupiga kura ya urais ikawa ndefu zaidi katika uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022 ikiwa Tume Huru ya...

Malumbano ya Sonko, Haji yazidi kutokota

NA WINNIE ATIENO MVUTANO kati ya gavana wa zamani wa Nairobi, Bw Mike Sonko, na Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma, Bw Noordin Haji,...

Raila kifua mbele kura ya maoni ya TIFA

NA CHARLES WASONGA MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja-One Kenya Raila Odinga imempiku kwa umaarufu mwaniaji wa urais wa...

Karua alazimisha Ruto kufanya hesabu upya

NA BENSON MATHEKA MUUNGANO wa Kenya Kwanza Alliance, unaoongozwa na Naibu Rais William Ruto, utalazimika kupanga upya mikakati yake...