• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Jumwa akataa kukatwa miguu UDA

NA VALENTINE OBARA MZOZO umeibuka katika Kaunti ya Kilifi, kuhusu usimamizi wa kampeni za urais za Naibu Rais William Ruto, saa chache...

Zogo wafuasi wa UDA na ANC wakilumbana

NA SHABAN MAKOKHA UHASAMA kati ya vyama vya UDA na ANC katika kaunti ya Kakamega unatishia umoja wa muungano wa Kenya Kwanza huku...

Wataalamu waunga Muthama ugavana

NA STEPHEN MUTHINI WASOMI, wataalamu na viongozi wa wanawake kaunti ya Machakos sasa wamemuunga mkono mwenyekiti wa chama cha United...

Kindiki sasa aamua kujiondoa katika siasa baada ya uchaguzi ujao

ALEX NJERU na JURGEN NAMBEKA SENETA wa Tharaka Nithi Professa Kithure Kindiki aliyependelewa na wengi kuwa mgombea mwenza wa naibu wa...

Safari ya mwaniaji mwenza wa Ruto tangu kijijini Hiriga

NA STEPHEN MUNYIRI MWANIAJI mwenza wa urais wa muungano wa Kenya Kwanza, Rigathi Gachagua alizaliwa mnamo 1965 katika kijiji cha Hiriga,...

Yaibuka naibu rais alikuwa amefanya uamuzi wa mbunge wa Mathira kitambo

NA BENSON MATHEKA INGAWA Naibu Rais William Ruto alidai Jumapili kwamba mchakato wa kuamua mgombea mwenza wake ulichukua saa 17 kuanzia...

Raila Odinga amteua Martha Karua awe mgombea mwenza wake

NA MWANDISHI WETU KIONGOZI wa ODM ndani ya Azimio La Umoja Raila Odinga amemteua kiongozi wa Narc-Kenya Martha Karua awe mgombea mwenza...

Polisi wachunguza Mbogo kwa madai ya uchochezi

NA WINNIE ATIENO POLISI katika Kaunti ya Mombasa wamesema wanamchunguza Mbunge wa Kisauni Ali Mbogo, kwa madai ya uchochezi. Bw Mbogo...

Ruto acheza karata ya mwaniaji mwenza

NA BENSON MATHEKA UAMUZI wa Naibu Rais William Ruto wa kumteua Mbunge wa Mathira, Rigathi Gachagua kuwa mwaniaji mwenza wake kwenye...

Masuala nyeti ya Wakenya katika uchaguzi

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI wa urais ambaye manifesto yake itaelezea jinsi ya kuimarisha usalama nchini na kupunguza gharama ya bidhaa...

Esther Gathogo asema alijihisi kama mfungwa ndani ya UDA

NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA mbunge wa Ruiru, Esther Nyambura Gathogo amefichua sababu zilizomshawishi kuhama kutoka United Democratic...

Washirika wa Mudavadi watetea MoU yake na Ruto

NA SHABAN MAKOKHA WASHIRIKA wa Musalia Mudavadi na Moses Wetang’ula wametetea mkataba kati ya vyama vya ANC, Ford Kenya na UDA cha...