• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Ruto aahidi kuwalainishia Wakenya maisha akichaguliwa rais

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Dkt William Ruto sasa anadai mfumo wa ugavi wa raslimali wa 'shilingi moja kwa mtu mmoja mmoja'...

UDA: Ni tiketi ya Ruto-Gachagua

NA COLLINS OMULO NAIBU Rais Dkt William Ruto wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) ndani ya muungano wa Kenya Kwanza amemteua...

Sokomoko Ruto akiteua Naibu

NA ONYANGO K’ONYANGO JUHUDI za Naibu Rais William Ruto kutumia matokeo ya kura ya maoni iliyoendeshwa na chama chake kuamua ni nani...

Kalonzo akaa ngumu, atishia kuwania urais

NA CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Kalonzo Musyoka anaendelea kukaa ngumu akishikilia kuwa ndiye anayefaa kuteuliwa kuwa mgombea...

Vijana wazima Sonko mkutano wa Azimio

NA ANTHONY KITIMO POLISI walilazimika kufyatua risasi hewani kumuokoa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko kutoka kwa vijana...

Nitakuwa na mshauri maalum wa masuala ya wanawake, Nassir asema

NA FARHIYA HUSSEIN WANAWAKE katika Kaunti ya Mombasa watapata nafasi ya mshauri maalum wa gavana kuhusu maswala yao, mwaniaji wa kiti...

Baadhi ya Wazee wa Kaya waunga Sonko Mombasa

NA FARHIYA HUSSEIN BAADHI ya wazee wa Mijikenda wameunga mkono azma ya aliyekuwa Gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko kugombea ugavana...

Raila motoni kwa kumgonga Kingi

NA WINNIE ATIENO VIONGOZI wa mrengo wa Kenya Kwanza eneo la Pwani wamemshtumu mwaniaji wa urais wa muungano wa Azimio La Umoja One Kenya...

Ruto anamtaja naibu leo naye Raila ni kesho

NA MOSES NYAMORI MWANIAJI urais wa Muungano wa Kenya Kwanza, Dkt William Ruto, anatarajiwa kuteua mgombea mwenza wake hii leo...

Mkataba wa Musalia, Ruto watatiza Mlima

MWANGI MUIRURI na LEONARD ONYANGO MKATABA wa ugavi wa vyeo iwapo Naibu Rais William Ruto atashinda urais katika uchaguzi mkuu ujao...

Magharibi, Pwani na Mashariki kuamua mrithi wa Rais Uhuru

NA LEONARD ONYANGO MAENEO ya Magharibi, Mashariki na Pwani yataamua mrithi wa Rais Uhuru Kenyatta baada ya Uchaguzi Mkuu wa Agosti...

Wawaniaji huru kuteua mmoja wao kuwawakilisha katika Uchaguzi Mkuu

NA JURGEN NAMBEKA WAGOMBEAJI huru 12 wa Urais Alhamisi walieleza kuwa watamteua mmoja wao, kupeperusha bendera ya wagombeaji huru katika...