• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 5:55 AM

CPK yabaki kwa mataa baada ya Mwadime kuhama

NA LUCY MKANYIKA CHAMA cha Communist Party of Kenya (CPK) kimemkosoa Mbunge wa Mwatate, Bw Andrew Mwadime, kukihama dakika za mwisho na...

Wito watolewa Joho awe mgombea-mwenza wa Raila

NA BRIAN OCHARO VIONGOZI wa ODM katika Kaunti ya Mombasa, wamejitosa katika mjadala kuhusu utafutaji wa mgombea mwenza wa kinara wa...

Nitaongoza Wakenya kupata uhuru wa kiuchumi – Raila

NA SAMMY WAWERU KIONGOZI wa Narc-Kenya, Martha Karua alikuwa na wakati mgumu kutuliza umati uliojitokeza kumsikiliza kinara wa ODM,...

Raila asisitiza Azimio itakuwa na mwaniaji mmoja kila kiti

NA JAMES MURIMI MWANIAJI wa urais wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga amesisitiza kuwa muungano huo utasimamisha mwaniaji mmoja...

Ruto aenda kinyume na ahadi ya mahasla

ONYANGO K'ONYANGO NA CHARLES WASONGA NAIBU Rais William Ruto ameonekana kuwachezea shere mahasla kwa kuahidi kuwapa nyadhifa serikalini...

Pasta amezea mate kiti cha Wetang’ula

NA BRIAN OJAMAA MHUBIRI katika Kaunti ya Bungoma, ambaye pia ni afisa wa chama cha kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda Kenya (KNCCI)...

Nassir na Omar walenga wawaniaji wenza wa kike

NA WINNIE ATIENO MBUNGE wa Mvita, Bw Abdulswamad Nassir, na aliyekuwa seneta wa Mombasa, Bw Hassan Omar, wanatarajiwa kuteua wanawake...

Joho aapa kuzima Sonko Mombasa

NA ANTHONY KITIMO GAVANA wa Mombasa, Bw Hassan Joho, amepuuzilia mbali ujio wa aliyekuwa gavana wa Nairobi, Bw Mike Sonko, kwa siasa za...

Uhuru na Ruto walimana kuhusu shida za Wakenya

NA CHARLES WASONGA RAIS Uhuru Kenyatta na naibu wake, William Ruto walilaumiana Jumapili kuhusu kilichosababisha tofauti kati...

Raila arai wakazi wa Mlima Kenya kwa kuahidi kuimarisha kilimo

NA IRENE MUGO MWANIAJI urais wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, Raila Odinga, Jumapili alirai wapigakura wa eneo la Mlima Kenya...

Tiketi yake Raila na Karua yabisha hodi

NA LEONARD ONYANGO MWANIAJI urais wa Azimio la Umoja One Kenya Alliance, Raila Odinga na Rais Uhuru Kenyatta wanaripotiwa kukubaliana...

Kingi bila hiari kubanana na Joho ndani ya Azimio

MAUREEN ONGALA NA VALENTINE OBARA UBABE wa kisiasa kati ya Gavana wa Kilifi, Bw Amason Kingi, na mwenzake wa Mombasa, Bw Hassan Joho,...